T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,516
Nakubaliana na hili kuna nguvu ya kishirikinaUkoo wenu una wachawi au washirikina wabaya sana....
Anko wako ni either kalogwa asipatane na wewe ili wewe usifike mbali AU alikuwa anataka kukutoa kafara kakushindwa