Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,862
Nilichogundua ni kuwa ukoo wa upande wa baba yako ni moja ya koo hapa nchini unaoongeza ma CHIZI FRESH TANZANIA ushauri wangu ni kuwa acha kurithi adui coz adui wa baba yako sio lazima awe adui yako hivyo umtembelee ama usimtembelee huyo anko wako hakuongezi point yoyote kwenye maisha yako so jikite kwenye kutafuta pesa na kuimarisha maisha yako hicho ndicho kitakupa power kwenye kuwaunganisha hao wehu wawili(baba yako na uncle) Nasema hivyo kwa sababu ukiwaita wawili huku huna hela wataona kama unawapigia kelele ila ukiwaita huku una maisha safi watakuja huku wamefyata mikia na watakuona unaongea point.TRUST ME NILIKUWA NAONEKANA MWEHU NA NIMEPOTEZA DIRA NIKATENGWA NA UKOO MZIMA LEO HII MEMBERS OF THE CLAN WANAJIRUDI KWA KUPIGA MAGOTI KWANGU BAADA YA KUKOMAA NA MAISHA NA KUJIWEZA KIMAISHA