Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,740
Hiki kipindi kinachorushwa ITV ni kizuri na kinafundisha ila sijaelewa kama ni maigizo au ni reality show?
Nami sijajua kama kuna race ndani yake. Ila naona haijalishi kama ni blak or white. Naona jaji anawachana live tu. M/jamii, ni bonge ya kipindi kifuatilie
Embu tuambieni kinakuwa saa ngapi, ili time hizo na sisi tuwashe jenereta zetu na kugeuzia antenna mjini! tehe h heee!