Family business ni bora kuliko kujiajiri mwenyewe; utengano ni udhaifu, umoja ni nguvu

1.Sisi LAMI na MIPINGO haiwezekani fikiri mume na mke hufichana mapato yao sembuse mradi wa familia? Mtavurugana na undugu ufe kabisaaaaaa! Labda Kama mlilelewa ktk ushirikiano wa Hali ya juu.

2.Watu weupe, WAHINDI NA WAARABU hulelewa hivyo pia hata wanapo wapeleka watoto wao shule na kisha chuo huwa wame waaandaa kuja kuwa fulani katika hiyo miradi au mkampuni ya FAMILIA ZAO.

3.MPINGO unampeleka mwanao shule HUJUI asomee nini na amalizapo HUJUI Nini atakacho kuja fanya!!!!
 
Kabla sijaendelea maana ya familia hapa ni baba, mama na watoto. Ndugu ili awe katika hii biashara inabidi mumfikirie sana yupo nanyi kwa shida na raha

Kwa hapa bongo tunaonaga kwa macho yetu jinsi ambavyo familia zinazofanya biashara kifamilia zinavyofanikiwa. Mfano mzuri ni kwa waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania kama kina mo dewji, bakhresa, manji, rostam, n.k ambao baada ya mzee Mengi kufariki kwa haraka haraka wameshikilia listi ya top 10 namba moja hadi kumi kwa utajiri.

wahenga hawakukosea msemo wao "umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu", Watanzania wengi sana wanapenda kufanya biashara kivyao vyao pasipo kushirikisha familia kwa kiwango kinachoridhisha.

yani ndio maana kama baba ndie alikua ana biashara zake zilizolisha familia siku akifariki ndio watoto wanaanza kujua kwamba baba alikua na biashara fulani na fulani na huishia kuuza biashara za marehemu kwa sababu hawajui namna ya kuziendesha kutokana na baba yao kutowashirikisha au kuwashirikisha kwa kiwango kidogo.

Nachowashauri ndugu zangu watanzania tuwe tunashirikisha familia kwenye biashara, kama una mradi na umeona mdogo wako au kaka yako hana kazi kwanini usimuombe akusaidie?, kama wewe ni baba au mama wa familia unapungukiwa nini kuwashirikisha watoto wako au Mme/mke wako wajue A - Z ya jinsi biashara yako inavyofanya kazi na wakusaidie.

oneni wenzetu waarabu jamani, mtu akimaliza degree yake ni moja kwa moja kuutumia ujuzi wake ili aisaidie familia yake, lakini mtanzania akitoka chuoni yeye anataka aajiriwe au aanzishe biashara Yale hata kama kaka yake ana biashara kubwa.

Watanzania wengi hawatakagi habari ya familia wala ndugu kwenye biashara, na ikitokea wamewaweka maslahi yanakuaga madogo sana yanayokatisha tamaa wanafamilia kukusaidia, unakuta kaka mwenye biashara anaingiza milioni 20 kwenye biashara ila anamlipa mdogo wake laki 3 tu.

Damu ni nzito kuliko maji, muunganiko wa familia katika biashara una nguvu sana, Naombeni ambao mna biashara shirikisheni familia,

TUACHE UMIMI NA UBINAFSI, HATA SIMBA AKIWA KAJITENGA HAWEZI KUSHINDANA NA TIMU CHA FISI.
NDUGU WA FAMILIA GANI LABDA UNAWAZUNGUMZIA ?!?!

WABONGO ?!?!

UNAPIGWA HADI MTAJI WOTE-
WANANYWEA CHAI NA MAANDAZI !!!
 
Ila sisi watu weusi hapana hii roho tulopewa tumeonewa sisi ni wabinafs mpka inasikitisha

Mtu mweusi kaumbiwa umaskin tu
 
Hizi tunazoita biashara 90% ni sole proprietorship ni biashara za one man army one man show kimsingi haziwezi mpeleka mtu yoyote popote ndo maana ni mgumu mtu kua na duka kariakoo baadae umrithishe mwanao na mwanao aje amrithishe mwanae
 
Kwa mara ya kwanza najaribu kuukubali ukwekli kuhusu mtu mweusi najaribu kwenda mbali zaidi inawezekana tuliumbwa kwa ajili ya kazi ngumu ngumu na michezo migumumigumu.....

hili daraja tulikubali na tuone fahari maana mara nyingi hata mweusi akijaribu vipi hawezi kabisa kuwa na ustaarabu wa mtu mweupe asilimia 100, kumbe nisababu ya mambo magumu magumu na kazi ngumu ngumu wengi ni wachezaji mashuhuri..n.k

Tunaongoza kuoneana wivu chuki roho mbaya hila na yanayofanana na hayo

Ila nimeelewa ndo maana hata maeneo ya kijografia yaliumbwa na kuweka kwa jinsi tulivyo.......si mambo yetu ni magumumagumu
 
Kila race iliumbwa kwa namna yake wao (asians) nguvu yao ipo katika ushirikiano na sisi nguvu yet ipo kwenye ubinafs
Cha muhimu Kila Ni ku embrace talanta zetu
 
Back
Top Bottom