cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,768
- 73,435
Kwa kumbukumbu za haraka haraka aliondolewa risas chache lakin zingine zilibaki mwilini. Walicho fanya ni just kudhibiti baadhi ya majeraha tu.
Hawakuomba makusudi.. hilo ndilo linalosimama. Wangeomba wasingelalamika leo.. waombe msamaha waendelee na mipango waliyojiwekea tangu mwanzo. Lingine kama sheria ya bunge ipo kuomba baada aombe na kuomba msamaha kwa waliowasingizia.