chemri
New Member
- Jan 19, 2019
- 3
- 163
Napenda kutoa pole kwa ndugu,jamaa na marafiki wa ruge mutahaba kwa kipindi kigumu wanacho kipitia....
Nimeshangaa kuona familia ya ruge imeanza kuomba misaada kwaajili ya matibabu ya ruge
Nashindwa kuamini kua CLOUDS wameshindwa kuendelea kulisimamia tatizo la ruge
Ikumbukwe RUGE ni mmoja wa wamiliki wa clouds media
MUNGU SIMAMA NA RUGE
=======
HALI YA RUGE MUTAHABA: MSAADA WA HALI NA MALI WAHITAJIKA TOKA KWA YEYOTE ATAYEGUSWA
-
Mbaki Mutahaba, ambaye ni mdogo wa Mkuu wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amesema kuwa gharama za matibabu ya Ruge ni kubwa mno
-
Mwaka jana Rais Magufuli alichangia gharama za matibabu ya Ruge lakini bado michango zaidi inahitajika
-
Imeelezwa kuwa gharama za matibabu ni kubwa na kwa siku zinaweza kufikia millioni 5 mpaka 6
-
Kwa yeyote atakayeguswa kuchangia matibabu ya Ruge Mutahaba wameombwa kufanya hivyo kupitia namba 0752 222 210
-
Namba hiyo imesajiliwa kwa jina la Kemilembe Mutahaba
Nimeshangaa kuona familia ya ruge imeanza kuomba misaada kwaajili ya matibabu ya ruge
Nashindwa kuamini kua CLOUDS wameshindwa kuendelea kulisimamia tatizo la ruge
Ikumbukwe RUGE ni mmoja wa wamiliki wa clouds media
MUNGU SIMAMA NA RUGE
=======
HALI YA RUGE MUTAHABA: MSAADA WA HALI NA MALI WAHITAJIKA TOKA KWA YEYOTE ATAYEGUSWA
-
Mbaki Mutahaba, ambaye ni mdogo wa Mkuu wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amesema kuwa gharama za matibabu ya Ruge ni kubwa mno
-
Mwaka jana Rais Magufuli alichangia gharama za matibabu ya Ruge lakini bado michango zaidi inahitajika
-
Imeelezwa kuwa gharama za matibabu ni kubwa na kwa siku zinaweza kufikia millioni 5 mpaka 6
-
Kwa yeyote atakayeguswa kuchangia matibabu ya Ruge Mutahaba wameombwa kufanya hivyo kupitia namba 0752 222 210
-
Namba hiyo imesajiliwa kwa jina la Kemilembe Mutahaba