Familia ya Ruge Mutahaba imeanza kuomba misaada kwaajili ya matibabu yake

Mh Rais alishatoa kwa niaba yetu na pia ni bora tuwe na jadi ya kuwa na BIMA YA AFYA ..amabayo kwa kawaida huchukua nafasi yake katika kipindi hiki….HILI LIWE FUNDISHO KWETU WOTE KUJIPANGA...
 
Ila binadamu wabaya sana, wanawezaje kumchaji mtu kiasi kikubwa namna hiyo cha pesa!!:oops: ikimaanisha kama mtu hana na hana wakumchangia ndio anadanji hivyo kirahisi kabisa hiari madaktari wanaweza kumtibu na kudai ela baadae akipona!!
Matatizo ya Figo kama maskini mwenzangu na mie ni kusubiria kufa tu
Kwa tanzania utakuta kila wiki Ukienda kwenye kusafishwa Figo unalipia 700000/
Mara mwezi Je,au Mara miezi 6 ??? Je mwaka ???? Ni balaaa
Unajua hii Dunia haiko fair

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeambiwa anatumia 5-6 millions per day kwa matibabu.Hebu piga amekaa uko siku ngapi uzidishe na hiyo pesa.Mkuu hata uwe na pesa vipi,matibabu yanakula pesa acha utani.Waweke tu utaratibu jamaa achangiwe,hii Dunia tunapita tu,Jamaa etu Godzillah ametoka ghafala tu hata nafasi ya kuchangia matibabu hatukupata ili kusave angalau maisha yake.Ugonjwa kitu kibaya sana mkuu.
Hivi hakuna Bima ya afya ya kimataifa?
 
Hivi Kwa Nini kusingefanyika Tamasha kubwa sana, wasanii walioguswa wafanye show ya bure, makampuni yaliyowahi fanya kazi na Ruge Mutahaba yasupport, wananchi tulipe kiingilio, tuchangie Gharama za Matibabu za Ruge.. Tuwaze Wote Kwa Pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Litafanyika a bado wadau qatafanya michango yao
 
Haswa mkuu, zaidi uzima wa afya ya mwili na akili. Kinyume na hapo wewe si lolote sio chochote. Kwa jinsi nilivyomfahamu huyu bwana sikujua kama angalikuwa na mwisho mbaya namna hio. Mbali na yote alioyafanya wakati angali buheri wa afya.
Kwani mkuu ndo uhai wake umeshafikia mwisho, Lissu mwenyew tulimchangia japo tulisikia anamalimbikizo ya 200+m amelipwa so suala la ugonjwa ni tofauti sana na kipato chako hata kama una 500m ukiingia ugonjwa unaweza shangaa kufa hufi gharama za kukufanya upate ahueni ni kubwa sana
 
Bima ziko za aina nyingi kutokana na kipato chako ...lakini sisi wote kama watanzania ya kwanza ni NHIF ...amabayo unatibiwa awali hadi Muhimbili ikishindikana nje ya Nchi kwa Gharama za SERIKALI HII NI HAKI YA KILA MTANZANIA....
2.Kuna bima nyingine nyingi kwenye soko AMABAZO CLOUDS KAMA TAASISI NAJUA WANAZO/ AMA WALITAKIWA KUWA NAZO
AAR
STARTEGIES nk
NI KOSA KUKAA NA WALLET AMBAYO HAINA CARD YA BIMA YA AFYA
 
Bima ziko za aina nyingi kutokana na kipato chako ...lakini sisi wote kama watanzania ya kwanza ni NHIF ...amabayo unatibiwa awali hadi Muhimbili ikishindikana nje ya Nchi kwa Gharama za SERIKALI HII NI HAKI YA KILA MTANZANIA....
2.Kuna bima nyingine nyingi kwenye soko AMABAZO CLOUDS KAMA TAASISI NAJUA WANAZO/ AMA WALITAKIWA KUWA NAZO
AAR
STARTEGIES nk
NI KOSA KUKAA NA WALLET AMBAYO HAINA CARD YA BIMA YA AFYA
HIzo bima nyingi zinachagua hospt na gharama kubwa, NHIF kila mtu anahitaji lakini inabidi uwe na 1.5m kujiunga, si mchezo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndg Ruge tumesikia garama zake za hospital kwa siku ni Tsh 5,000,000/= kwa huhakika kweli anastahili mchango
Na ndg yetu Lisu ni vizuri gharama zake ziwekwe ili tuendelee kumchangia nae na kujua ni ngapi anadaiwa....kuliko hii sintofahamu garama zake ngapi hadi muda huu...nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui sana kuhusu huo ugonjwa,lakini kwa pesa alionayo mpaka sasa si angeshabadilishiwa figo nyingine...?
Inategemea na hali ya mgonjwa. Kama kuna mambo mengine hayako sawa hawawezi kumfanyia surgery yeyote mpaka awe stable. Kuna ndugu yangu nilimpeleka India for a heart surgery. Kufika tukaambiwa pia alikuwa ana shida ya figo ndio maana mwili ulikuwa umevimba sana. Kwa hiyo wakaanza stabilization procedures including kumtoa sumu mwilini coz figo zimekufa, a process known as dialysis. Hiyo process ni extremely expensive!! In three days familia ikawa imetumia 20 million!!! Siku ya nne akafariki!! Imagine angeendelea kuishi na kutibiwa,ingekuwaje!! Bakuli lingetuhusu. Matibabu ya figo ni gharama sana, sana. Unless una bima, utachemsha tu, hata ukiwa Mo Dewwwji!!!
 
Ndg Ruge tumesikia garama zake za hospital kwa siku ni Tsh 5,000,000/= kwa huhakika kweli anastahili mchango
Na ndg yetu Lisu ni vizuri gharama zake ziwekwe ili tuendelee kumchangia nae na kujua ni ngapi anadaiwa....kuliko hii sintofahamu garama zake ngapi hadi muda huu...nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Garama za Lisu zimetajwa since day one sasa sijui unataka zipi tena zitajwe Chief ili wewe uchangie
 
Back
Top Bottom