Familia ya Rais Magufuli haina makuu

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Ndugu wanabodi salamus!

Rais JOHN POMBE MAGUFULI ametimiza miezi miwili madarakani tangu alipo apishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.Kama kiongozi amefanya mambo mengi mazuri, lakini lililo nisukuma kuandika uzi huu ni kuona kiongozi wa Afrika amekaa madarakani miezi miwili na hajasafiri kwenda Nchi za nje hasa ulaya na Marekani.Ukiona hivyo ujue familia hiyo iko vizuri kimalezi na kimakuzi! wangekuwa ni familia nyingine saa hizi wangemshinikiza waende ulaya kufanya manunuzi na kupumzika ili mheshimiwa akatoe uchovu wa baada ya kampeni ndefu na inayo chosha ya kuwania uongozi wa Nchi.

Wanao mbeza wabeze tu lakini kwa viwango vya kibinadamu na hasa Waafrika jamaa akiendelea na aina hii ya uwajibikaji nina matumaini makubwa kwa iko siku atapata zawadi ya MO IBRAHIMU kwa kuifanyia Nchi uongozi bora.
 
hatukumchagua asafiri. Watz walimchagua akawatumikie. Ya mkeete mwachie mkwere atalipa kwa nafasi yake.
Hakuna Nchi wanako chagua kiongozi wao ili asafiri, lakini viongozi wengi Afrika hawako hivyo! Mkwere hakuchaguliwa ili asafiri lakini katika miaka 10 aliyo kaa madaeakani alisafiri kwenda ulaya na Marekani mara 412!
 
Ndugu wanabodi salamus!

Rais JOHN POMBE MAGUFULI ametimiza miezi miwili madarakani tangu alipo apishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.Kama kiongozi amefanya mambo mengi mazuri, lakini lililo nisukuma kuandika uzi huu ni kuona kiongozi wa Afrika amekaa madarakani miezi miwili na hajasafiri kwenda Nchi za nje hasa ulaya na Marekani.Ukiona hivyo ujue familia hiyo iko vizuri kimalezi na kimakuzi! wangekuwa ni familia nyingine saa hizi wangemshinikiza waende ulaya kufanya manunuzi na kupumzika ili mheshimiwa akatoe uchovu wa baada ya kampeni ndefu na inayo chosha ya kuwania uongozi wa Nchi.

Wanao mbeza wabeze tu lakini kwa viwango vya kibinadamu na hasa Waafrika jamaa akiendelea na aina hii ya uwajibikaji nina matumaini makubwa kwa iko siku atapata zawadi ya MO IBRAHIMU kwa kuifanyia Nchi uongozi bora.
Hata Kikwete alianza hivyo hivyo_ hana makuu. Lakini sasa Ridhiwani ni multi billionaire.
 
Ndugu wanabodi salamus!

Rais JOHN POMBE MAGUFULI ametimiza miezi miwili madarakani tangu alipo apishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.Kama kiongozi amefanya mambo mengi mazuri, lakini lililo nisukuma kuandika uzi huu ni kuona kiongozi wa Afrika amekaa madarakani miezi miwili na hajasafiri kwenda Nchi za nje hasa ulaya na Marekani.Ukiona hivyo ujue familia hiyo iko vizuri kimalezi na kimakuzi! wangekuwa ni familia nyingine saa hizi wangemshinikiza waende ulaya kufanya manunuzi na kupumzika ili mheshimiwa akatoe uchovu wa baada ya kampeni ndefu na inayo chosha ya kuwania uongozi wa Nchi.

Wanao mbeza wabeze tu lakini kwa viwango vya kibinadamu na hasa Waafrika jamaa akiendelea na aina hii ya uwajibikaji nina matumaini makubwa kwa iko siku atapata zawadi ya MO IBRAHIMU kwa kuifanyia Nchi uongozi bora.

Swala LA msingi ni kupunguza gharama za safari zisizo na tija na sio sifa ya Rais kutosafiri. Kimsingi tunahitaji Rais anaeweza kwenda kutuwakilisha AU, UN.......
Tatizo la awamu ya 4 nilikuwa ni mashindano ya kwenda nje.
 
NI BUSARA HIZO. ANA UCHUNGU NA NCHI YAKE MASKINI ANAYOIONGOZA. ANATAKA KUTUVUSHA HUKU TUENDE MBELE KAMA WENZETU WENGINE.
 
NI BUSARA HIZO. ANA UCHUNGU NA NCHI YAKE MASKINI ANAYOIONGOZA. ANATAKA KUTUVUSHA HUKU TUENDE MBELE KAMA WENZETU WENGINE.
Kabisa kabisa. Mungu azidi kumpa nguvu na afya. Aidha asikwazwe na wachache wanaotaka kumkatisha tamaa.
 
napingana sana na serikali ya ccm ila hapa kweli kajitahidi, tushukuru kwa hili, tungeweza kupata rais bomu x100 zaidi ya huyu mfano angepita membe ccm
 
Stolen :Why are blacks not wealthy
You've got to read this Excerpts from an interview with a Jewish leader about Blacks.
INTERVIEWER:
Why are blacks so behind Economically?
JEWISH LEADER:
The only thing blacks understand is Consumption. Blacks don't understand the importance of creating and building wealth.
The fundamental rule is to keep your money within your racial group. We the Jews build Jewish business, hire Jewish, buy Jewish and spend Jewish. There is nothing wrong with that but it is a basic rule blacks cannot comprehend and follow; "He kills his fellow blacks daily instead of wanting to see his fellow black do succeed" 93% of blacks killed in America are by other blacks.
Their leaders steal from their people and send the money back to their colonial master from whom they borrow the same money from.
Every successful black want to spend his money in the country of his colonial masters. They go on holiday abroad, buy houses abroad, school abroad, go for medical treatment abroad etc instead of spending this money in their own country to benefit their people.
Statistics show that the Jew's money exchanges hands 18 times before leaving his community while for blacks it is probably a maximum of once or even zero.
Only 6% of black money goes back into their community. This is why Jews are at the top and blacks are at the bottom of every ladder of society.
Instead of buying Louis Vuitton, Hermes, expensive cars, shoes, houses, dresses etc, blacks could industralize Africa, build banks and get rid of colonial institutions by putting them out of business.
INTERVIEWER:
What is your thought on failure of blacks after 150yrs?
JEWISH LEADER:
Well, nothing is ever the blackman's fault. His compulsive habit of killing his own, compulsive material consumption. His inability to build businesses or preserve wealth are usually somebody else's fault.
INTERVIEWER:
So what can blacks do to liberate themselves
JEWISH LEADER: Blacks must take responsibility. Blacks must unite. And vehemently fight corrupt leaders who run down their country and run to IMF as though IMF is Father Christmas.
Pls. forward this until it goes round the continent of Africa & particularly to our parasitic leaders.
We all need to learn our lessons quick and build our Nation
 
Stolen :Why are blacks not wealthy
You've got to read this Excerpts from an interview with a Jewish leader about Blacks.
INTERVIEWER:
Why are blacks so behind Economically?
JEWISH LEADER:
The only thing blacks understand is Consumption. Blacks don't understand the importance of creating and building wealth.
The fundamental rule is to keep your money within your racial group. We the Jews build Jewish business, hire Jewish, buy Jewish and spend Jewish. There is nothing wrong with that but it is a basic rule blacks cannot comprehend and follow; "He kills his fellow blacks daily instead of wanting to see his fellow black do succeed" 93% of blacks killed in America are by other blacks.
Their leaders steal from their people and send the money back to their colonial master from whom they borrow the same money from.
Every successful black want to spend his money in the country of his colonial masters. They go on holiday abroad, buy houses abroad, school abroad, go for medical treatment abroad etc instead of spending this money in their own country to benefit their people.
Statistics show that the Jew's money exchanges hands 18 times before leaving his community while for blacks it is probably a maximum of once or even zero.
Only 6% of black money goes back into their community. This is why Jews are at the top and blacks are at the bottom of every ladder of society.
Instead of buying Louis Vuitton, Hermes, expensive cars, shoes, houses, dresses etc, blacks could industralize Africa, build banks and get rid of colonial institutions by putting them out of business.
INTERVIEWER:
What is your thought on failure of blacks after 150yrs?
JEWISH LEADER:
Well, nothing is ever the blackman's fault. His compulsive habit of killing his own, compulsive material consumption. His inability to build businesses or preserve wealth are usually somebody else's fault.
INTERVIEWER:
So what can blacks do to liberate themselves
JEWISH LEADER: Blacks must take responsibility. Blacks must unite. And vehemently fight corrupt leaders who run down their country and run to IMF as though IMF is Father Christmas.
Pls. forward this until it goes round the continent of Africa & particularly to our parasitic leaders.
We all need to learn our lessons quick and build our Nation
you couldn't be more true...vitu nilivyovikubali na ambavyo vipo 90% kwa black wote ni kuwa wanalaumu wengine badala ya kujiangalia wao, mfano hadi leo utakuta watu wanalaumu wazungu kwa umasikini wetu eti walitutawala wakatunyonya.. alafu ni kweli pia hawa blacks japokua sio wote wanatumia kila kidogo wanachopata.
ukiwa unajibana kidogo ili uendelee utashangaa unapondwa unaambiwa sijui unakua kama Mchaga, mara mshamba n.k
 
Ata Mimi uyu jembe ameniinspire kiasi kwamba harakati zote tupa kule saiz naendelea na harakati zangu za kusaka tonge
 
napingana sana na serikali ya ccm ila hapa kweli kajitahidi, tushukuru kwa hili, tungeweza kupata rais bomu x100 zaidi ya huyu mfano angepita membe ccm


Membe ilikuwa copy n paste ya Mkwere...
 
Vigezo vya tuzo ya MO IBRAHIMU unavijua? acha kutoa sifa za kipambe wewe.
 
Back
Top Bottom