Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,345
- 2,296
Manelo ni Mandela aiseeBado hili ni suala la mdahalo. Hakuna ithibati kuwa Manelo ni Mandela hata ukipitia lyrics za huu wimbo havihusiani.
Manelo ni Mandela aiseeBado hili ni suala la mdahalo. Hakuna ithibati kuwa Manelo ni Mandela hata ukipitia lyrics za huu wimbo havihusiani.
WiMbo wa Maunda ulitangulia kutoka kyliko huu nzelaBaada ya kutoka kwa wimbo huo wa Nzela,Maunda nae alitoa wimbo kuwajibu ulioitwa "MAPENZI YA WAWILI"View attachment 2221487
Kumbe jamaa anataka kutupiga chenga ya mwilo😀😀😂WiMbo wa Maunda ulitangulia kutoka kyliko huu nzela
Kuna sauti ya nurueli muleAliyeimba hivyo sio mzee Zorro ni Banana. Na alisema ni habari za mujini.
Binafsi naona mashairi yanajitosheleza kabisa. Ni kama ule mwingine pia wa "i need some money".Wimbo wameunyima mashairi kabisa huu. Ni kama ulitengenezwa kwa ajili vibe tu
Habari zimetapakaaa mujiiiiiiiiiiini,
Unaujauzito, ulopewa na mpiga debe ,eeeeeeee nampiga debe.
Nzela Mimi jilani yako nzela
Nimesoma na kaka yako nzeeela
Naumia na tabia uliyonayoooooo
Kumbuka umeacha shule nzelaaaaa
Duniaaaaa nitambala lililotobokaaaa
Kumbuka Kuna gonjwa zito nzela
Nzela Dada Rudi Nyumbani sis tunakukumbuka
Niko hapa namjomba yetu nzela
Jua mama unampa tabu nzela
We miss u Nzela wela yooo mama x2
Walimwambia lipo ila si kwamba kalipataSo ndo alimpa Gonjwa zito la ukimwi ? Km nyimbo inavyosema
"Dunia ni tambala lililotoboka kumbuka Kuna Gonjwa zito la ukimwi"
We miss u, Nzela where u are mama, Nzela.x2Tumezaliwa Wawiliiiiii Nzeeeeelah nzela
Jua mama unampa tabu nzelaah nzelaah..
leo ndo nimeelewa aisee
hili ni bonge moja la nuimbo mkuuWe miss u, Nzela where u are mama, Nzela.x2
Ooo, oo ,o Nzela
Come back, come back, come back Nzela, Nzela weetu, Nzela mama miss u, Nzela your brothers and sisters miss.
Soma hiyooooo kwenye hiyo link chini, achana na lyrics bali maelezo juu pembeni ya picha wameeleza serikali ilikuwa inazipitia nyimbo kabla ya kutoka hivyo ikatumika sanaa kuficha jina na kuweka manelowBado hili ni suala la mdahalo. Hakuna ithibati kuwa Manelo ni Mandela hata ukipitia lyrics za huu wimbo havihusiani.
Wanaangalia pesa sio ujumbe.Na wanapiga sana pesaDah...ni Sanaa Kubwa, akili Kubwa..! Kizazi hicho Katika Kutengeneza Wimbo msanii anaanza na Kuyajenga Maudhui halafu anaweka beat.
Vijana Wa sasa anaanza Kuomba Beat kutoka Kwa Producer halafu ndo apachike Maudhui.
Hiyo imepelekea nyimbo Za Hovyo sana kutolewa na Kizazi hiki..!
Mtu anaimba 'Nataka Kulewa' hlf anarudia rudia Hayo maneno Wimbo tayari..!
Bia tam........Dah...ni Sanaa Kubwa, akili Kubwa..! Kizazi hicho Katika Kutengeneza Wimbo msanii anaanza na Kuyajenga Maudhui halafu anaweka beat.
Vijana Wa sasa anaanza Kuomba Beat kutoka Kwa Producer halafu ndo apachike Maudhui.
Hiyo imepelekea nyimbo Za Hovyo sana kutolewa na Kizazi hiki..!
Mtu anaimba 'Nataka Kulewa' hlf anarudia rudia Hayo maneno Wimbo tayari..!
Wa Kibanda cha simu je Sogy Dogywakuu naskia lile goma la ZALI LA MENTALI ni true story