Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,432
- 7,055
- Thread starter
- #21
Mkuu umesoma hadi darasa la ngapi!? Kile kipengele cha ufaham swali la kwanza kwenye mitihani kuanzia darasa la 5 unalifaham!? Form one ukifika wanaita comprehension. Hua swali la kwanza la mtihani wa kiingereza.
Nilishangaa pia lakini ilibidi nimueleweshe. Hatufanani kwenye uelewa wa mambo haraka. Ujumbe uko very clear hadi amenukuu pia ila hakuuelewa kirahisi.