Familia ya Mwl. Nyerere yaalikwa kwenye mazishi ya Mandela

Sababu ya kujisikia vibaya ni DHAIFU mno kwa sababu zifuatazo.

1. Mandela amewahi kuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Africa Kusini. Kazi hiyo inahitaji ujasiri mkubwa. Mtu aliyeimudu kazi hiyo pamoja na kuvumilia jela miaka 27 hawezi kukosa ujasiri wa kuhudhuria mazishi ya rafiki.

2. Nyerere amefariki akiwa na umri wa miaka 77. Huu sio umri mdogo wa kufanya kifo chake kiwe habari ya kusononesha kiasi cha kushindwa kuvimilia kuwepo.

3. Je, Mandela aliumizwa zaidi kuliko watoto wa Nyerere na mama yao? Mbona wao waliudhuria mazishi ya Baba yao pamoja na uchungu walio nao.

4. Je, Mandela alimpenda Nyerere zaidi kuliko ndugu zake wote? Je, mazishi ya ndugu zake hakuwa akihudhuria?

Ninachoona ni kwamba Mandela alikuwa hataki mazishi ya Nyerere yawe triumph. Alijua uwepo wake utafanya mazishi hayo kupata coverage kubwa na akajiweka kando. Lengo ni kiogopa kutonesha vidonda vya "wazungu".

Nchi za magharibi zinailaumu Tanzania kwa kuvipa mafunzo vikundi vya ANC ambavyo according to wamagharibi vikundi hivyo ni vya kigaidi.
Mandela anaonekana alihofia kukumbushia historia hiyo. Kwa watu wa magharibi kilichofanywa na Tanzania

pale Mazimbu Morogoro sio ushujaa ila ni ugaidi. Mandela anaonekana kukubaliana na wanagharibi kwenye hili. Anaona aibu kujiweka karibu na watu waliounga mkono "ugaidi" wake ili asiwaudhi "wakubwa".

Kwa kuongezea, Mandela angetambua mchango wa Tanzania, kipindi cha utawala wake angefuta visa kwa watanzania, lakini haikufanyika hivyo bali kinyume chake Wakenya wakawa na ruhusa ya kuingia Afrika Kusini bila visa! Mpaka manual alipoingia Zuma ndiyo watanzania wakaruhusiwa kuingia bila visa! Kumbuka maslahi ya wamagharibi yaliyoko Afrika Kusini ndiyo hayo hayo yaliyoko Kenya.
 
Rais wa Cuba alizungumza. Alipewa nafasi.

..asante sana.

..nimeeleza hapo juu kuwa sikupata nafasi ya kuangalia shughuli ya maombolezo iliyofanyika Jo'Burg.

..mchango wa Cuba ktk vita ya ukombozi ni kubwa sana. yaani bila hawa jamaa makaburu ilikuwa wavamie Angola, wakati tayari walikuwa wanaikalia Namibia, na baada ya hapo Zambia na wengine wangekiona cha mtema kuni.

..Cuba alipeleka majeshi yake kusaidia serikali ya Angola. Vita iliendelea kwa muda mrefu mpaka wakati wa mapigano ya Cuito Cuinavale ambapo Wacuba waliwashinda Makaburu. Kutokana na kipigo alichopewa na Wacuba, makaburu wakatoa uhuru kwa Namibia na baadaye waka-negotiate na Mandela.

..Vyombo vya habari vya magharibi wanakwambia uhuru wa Afrika Kusini ulipatikana kutokana na shinikizo la tamasha la wanamuziki lililofanyika London.
 
Ni nani anayepanga hizo itifaki za mazishi ya Mandela, maana hata kwenye familia ya Mandela hawapatani wenyewe kwa wenyewe.
 
..asante sana.

..nimeeleza hapo juu kuwa sikupata nafasi ya kuangalia shughuli ya maombolezo iliyofanyika Jo'Burg.

..mchango wa Cuba ktk vita ya ukombozi ni kubwa sana. yaani bila hawa jamaa makaburu ilikuwa wavamie Angola, wakati tayari walikuwa wanaikalia Namibia, na baada ya hapo Zambia na wengine wangekiona cha mtema kuni.

..Cuba alipeleka majeshi yake kusaidia serikali ya Angola. Vita iliendelea kwa muda mrefu mpaka wakati wa mapigano ya Cuito Cuinavale ambapo Wacuba waliwashinda Makaburu. Kutokana na kipigo alichopewa na Wacuba, makaburu wakatoa uhuru kwa Namibia na baadaye waka-negotiate na Mandela.

..Vyombo vya habari vya magharibi wanakwambia uhuru wa Afrika Kusini ulipatikana kutokana na shinikizo la tamasha la wanamuziki lililofanyika London.

Asante, post yako imetoa mwanga na taarifa zaidi.
 
Jasusi, Ng'wamapalala, MTAZAMO, ZeMarcopolo, Ben Saanane, wana-JF,


..hata mimi sijaridhika na jinsi Mandela alivyoshughulikia matatizo ya kijamii ya weusi wa Afrika Kusini, na zaidi jinsi alivyokuwa aki-deal na matatizo mbalimbali ya kisiasa ktk nchi za Kiafrika.


..labda kukaa kwake jela kwa muda mrefu kulimfanya asijue ni kiasi gani nchi za mstari wa mbele zili-sacrifice ktk harakati za ukombozi wa kusini mwa Afrika and in particular Afrika Kusini.


..Mandela alikuwa jela, wakati wakina Oliver Tambo, Thambo Mbeki, Jacob Zuma, etc etc walikuwa ukimbizini ktk nchi zilizokuwa mstari wa mbele. Kwa msingi huo it makes sense kwamba wakati mwingine Mandela asi-appreciate kwa kiwango cha kuridhisha mchango wa nchi zilizokuwa mstari wa mbele.


..Kwa upande mwingine inawezekana Mandela pia didnt have the "instruments" za kumuwezesha kufanya hayo tuliyomtarajia ayafanye. Kwa mfano, sina kumbukumbu ya utawala wa Mandela kupeleka msaada wa kijeshi ktk nchi yeyote ile zaidi ya Lesotho. Sasa hapa labda ni kutokana na nature na composition ya jeshi alilolirithi. Zaidi, inawezekana kutokana na jinsi walivyopata uhuru, Mandela hakuamini ktk nguvu za kijeshi and was not keen to flex South African military muscle anywhere outside South Africa. Hapa namtofautisha Nelson Mandela na viongozi kama Mwalimu Nyerere, na Robert Mugabe.


NB:


..nadhani familia ya Mwalimu Nyerere wamealikwa kwenye msiba kutokana na ukaribu wao na Mama Graca Machel. Kama mtakumbuka, Mama Maria ndiye aliyekuwa akionekana pembeni ya Mama Graca wakati wa msiba wa Samora Machel. Pia Graca Machel alikuwepo Tanzania wakati wote wa msiba wa Mwalimu Nyerere, ingawa Mzee Madiba alikuwa ktk ziara Israel na Marekani.

Mkuu JokaKuu naona kwa nia njema unampa Mandela TOO much of credit of a doubt. I dont think Mandela deserves that credit.

Unasema Mandela alipokuwa jela hakuwa na taarifa za aina ya ushirikiano wanaopata kutoka nchi nyingine za Afrika. Haps kuns msmbo mawili unakuwa umeyasahau, kwanza Mandela was well informed and kept on participating in liberation struggle even when he was in jail. Ndio maana aliweza kuwa kiongozi wa ANC alipotoka tu gerezani.

Kitu kingine ni kwamba Mandela wakati anajiuzuru active politics alisema alitoa speech iliyosema "dont call me I will call you" akimaanisha kwamba hakupenda kuitwa na kushirikishwa kwenye shughuli mbalimbali isipokuwa pale atakapoomba yeye mwenyewe. Sababu aliyoitoa among others ni kwamba alipokuwa gerezani for 27 yrs hakuwa na muda wa kutosha kusoma. Kwa hiyo alitaka kutumia muda wake wa kustaafu kusoma mambo mbalimbali. Sasa, iwapo Mandela hakuwa na taarifa za kutosha kuhusu sacrifice zilizofanywa na nchi zetu basi hapo angetumia muda huo kupata taarifa zaidi. What did he go to read?

Lipo swala tatanishi duniani ambalo lilihitaji mtu kama Mandela kulitolea tamko. Mgogoro wa Israel na Palestine. Mandela never cared to take a stand in this conflict! Zipo ripoti zinasema kuwa Mandela aliiona serikali ya Israel kama ya kibaguzi wa rangi, lakini waisrael several times wamekanusha ripoti hizo. Kwanini jambo hili liwe la danadana wakati Mandela mwenyewe alikuwepo hai? Mandela hakutaka kuwachokoza wamarekani na washirika wengine wa Israel ndio maana akakaa kimya!!! Na sisi tungeogopa kuchokoza mataifa hayo na kukaa kimya kuhusu Afrika Kusini sijui nini kingetokea.

Waziri Mkuu wa Israel amekataa kuhudhuria memorial ya Mandela na hata kutuma mwakilishi. Hii inadhihirisha kuwa Israel wanajua msimamo wa Mandela kuhusu nchi yao. But Mandela himself NEVER said anything!!! Unlike Mandela Desmond Tutu aliweka wazi kuwa kinachofanywa na serikali ya Israel is unacceptable. Tutu calls for end to blockade of Gaza | World news | The Guardian

Mandela hawezi kuitwa icon wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani kwa sababu his activities were too local while the problem is global. Anachopendewa Mandela ni kwamba amekubali kuwa ngome ya kukinga interests za mataifa makubwa baada ya mfumo wa apartheid kudhihirika kuwa sio sustainable...
 
Last edited by a moderator:
Jasusi, Ng'wamapalala, MTAZAMO, ZeMarcopolo, Ben Saanane, wana-JF,


..hata mimi sijaridhika na jinsi Mandela alivyoshughulikia matatizo ya kijamii ya weusi wa Afrika Kusini, na zaidi jinsi alivyokuwa aki-deal na matatizo mbalimbali ya kisiasa ktk nchi za Kiafrika.


..labda kukaa kwake jela kwa muda mrefu kulimfanya asijue ni kiasi gani nchi za mstari wa mbele zili-sacrifice ktk harakati za ukombozi wa kusini mwa Afrika and in particular Afrika Kusini.


..Mandela alikuwa jela, wakati wakina Oliver Tambo, Thambo Mbeki, Jacob Zuma, etc etc walikuwa ukimbizini ktk nchi zilizokuwa mstari wa mbele. Kwa msingi huo it makes sense kwamba wakati mwingine Mandela asi-appreciate kwa kiwango cha kuridhisha mchango wa nchi zilizokuwa mstari wa mbele.


..Kwa upande mwingine inawezekana Mandela pia didnt have the "instruments" za kumuwezesha kufanya hayo tuliyomtarajia ayafanye. Kwa mfano, sina kumbukumbu ya utawala wa Mandela kupeleka msaada wa kijeshi ktk nchi yeyote ile zaidi ya Lesotho. Sasa hapa labda ni kutokana na nature na composition ya jeshi alilolirithi. Zaidi, inawezekana kutokana na jinsi walivyopata uhuru, Mandela hakuamini ktk nguvu za kijeshi and was not keen to flex South African military muscle anywhere outside South Africa. Hapa namtofautisha Nelson Mandela na viongozi kama Mwalimu Nyerere, na Robert Mugabe.


NB:


..nadhani familia ya Mwalimu Nyerere wamealikwa kwenye msiba kutokana na ukaribu wao na Mama Graca Machel. Kama mtakumbuka, Mama Maria ndiye aliyekuwa akionekana pembeni ya Mama Graca wakati wa msiba wa Samora Machel. Pia Graca Machel alikuwepo Tanzania wakati wote wa msiba wa Mwalimu Nyerere, ingawa Mzee Madiba alikuwa ktk ziara Israel na Marekani.

Mkuu JokaKuu naona kwa nia njema unampa Mandela TOO much of credit of a doubt. I dont think Mandela deserves that credit.

Unasema Mandela alipokuwa jela hakuwa na taarifa za aina ya ushirikiano wanaopata kutoka nchi nyingine za Afrika. Hapa kuna mambo mawili unakuwa umeyasahau, kwanza Mandela was well informed and kept on participating in liberation struggle even when he was in jail. Ndio maana aliweza kuwa kiongozi wa ANC alipotoka tu gerezani.

Kitu kingine ni kwamba Mandela wakati anajiuzuru active politics alitoa speech iliyosema "dont call me I will call you" akimaanisha kwamba hakupenda kuitwa na kushirikishwa kwenye shughuli mbalimbali isipokuwa pale atakapoomba yeye mwenyewe. Sababu aliyoitoa among others ni kwamba alipokuwa gerezani for 27 yrs hakuwa na muda wa kutosha kusoma. Kwa hiyo alitaka kutumia muda wake wa kustaafu kusoma mambo mbalimbali. Sasa, iwapo Mandela hakuwa na taarifa za kutosha kuhusu sacrifice zilizofanywa na nchi zetu basi hapo angetumia muda huo kupata taarifa zaidi. What did he go to read?

Lipo swala tatanishi duniani ambalo lilihitaji mtu kama Mandela kulitolea tamko. Mgogoro wa Israel na Palestine. Mandela never cared to take a stand in this conflict! Zipo ripoti zinasema kuwa Mandela aliiona serikali ya Israel kama ya kibaguzi wa rangi, lakini waisrael several times wamekanusha ripoti hizo. Kwanini jambo hili liwe la danadana wakati Mandela mwenyewe alikuwepo hai? Mandela hakutaka kuwachokoza wamarekani na washirika wengine wa Israel ndio maana akakaa kimya!!! Na sisi tungeogopa kuchokoza mataifa hayo na kukaa kimya kuhusu Afrika Kusini sijui nini kingetokea.

Waziri Mkuu wa Israel amekataa kuhudhuria memorial ya Mandela na hata kutuma mwakilishi. Hii inadhihirisha kuwa Israel wanajua msimamo wa Mandela kuhusu nchi yao. But Mandela himself NEVER said anything!!! Unlike Mandela Desmond Tutu aliweka wazi kuwa kinachofanywa na serikali ya Israel is unacceptable. Tutu calls for end to blockade of Gaza | World news | The Guardian

Mandela hawezi kuitwa icon wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani kwa sababu his activities were too local while the problem is global. Anachopendewa Mandela ni kwamba amekubali kuwa ngome ya kukinga interests za mataifa makubwa baada ya mfumo wa apartheid kudhihirika kuwa sio sustainable...
 
Last edited by a moderator:
Mandela alisema kwamba "nitazimia au kupoteza fahamu kabisa kama nitauona mwili wa marehemu mwalimu Nyerere kwenye jeneza", ambaye hapo awali alikuwa rafiki yake kipenzi nje ya SA. Hayo ndiyo niliyowahi kusikia kutoka Maerehemu Mandela akiwa hai

desmond tutu ni rafiki mkubwa sana wa mandela na ndiyo sababu analia na kusema hatohudhiria mazishi kwa kuwa serikali imegoma kumualika.huo ndio urafiki sio NITASONONEKA tutu ana umri gani mbona hogopi kuona jeneza la mandela. siasa jengo refu sana na ni wachache wanaofanikiwa kuuona mwisho wa jengo hilo hahahahhaha atasononeka
 
Mkuu JokaKuu naona kwa nia njema unampa Mandela TOO much of credit of a doubt. I dont think Mandela deserves that credit.

Unasema Mandela alipokuwa jela hakuwa na taarifa za aina ya ushirikiano wanaopata kutoka nchi nyingine za Afrika. Hapa kuna mambo mawili unakuwa umeyasahau, kwanza Mandela was well informed and kept on participating in liberation struggle even when he was in jail. Ndio maana aliweza kuwa kiongozi wa ANC alipotoka tu gerezani.

Kitu kingine ni kwamba Mandela wakati anajiuzuru active politics alitoa speech iliyosema "dont call me I will call you" akimaanisha kwamba hakupenda kuitwa na kushirikishwa kwenye shughuli mbalimbali isipokuwa pale atakapoomba yeye mwenyewe. Sababu aliyoitoa among others ni kwamba alipokuwa gerezani for 27 yrs hakuwa na muda wa kutosha kusoma. Kwa hiyo alitaka kutumia muda wake wa kustaafu kusoma mambo mbalimbali. Sasa, iwapo Mandela hakuwa na taarifa za kutosha kuhusu sacrifice zilizofanywa na nchi zetu basi hapo angetumia muda huo kupata taarifa zaidi. What did he go to read?

Lipo swala tatanishi duniani ambalo lilihitaji mtu kama Mandela kulitolea tamko. Mgogoro wa Israel na Palestine. Mandela never cared to take a stand in this conflict! Zipo ripoti zinasema kuwa Mandela aliiona serikali ya Israel kama ya kibaguzi wa rangi, lakini waisrael several times wamekanusha ripoti hizo. Kwanini jambo hili liwe la danadana wakati Mandela mwenyewe alikuwepo hai? Mandela hakutaka kuwachokoza wamarekani na washirika wengine wa Israel ndio maana akakaa kimya!!! Na sisi tungeogopa kuchokoza mataifa hayo na kukaa kimya kuhusu Afrika Kusini sijui nini kingetokea.

Waziri Mkuu wa Israel amekataa kuhudhuria memorial ya Mandela na hata kutuma mwakilishi. Hii inadhihirisha kuwa Israel wanajua msimamo wa Mandela kuhusu nchi yao. But Mandela himself NEVER said anything!!! Unlike Mandela Desmond Tutu aliweka wazi kuwa kinachofanywa na serikali ya Israel is unacceptable. Tutu calls for end to blockade of Gaza | World news | The Guardian

Mandela hawezi kuitwa icon wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani kwa sababu his activities were too local while the problem is global. Anachopendewa Mandela ni kwamba amekubali kuwa ngome ya kukinga interests za mataifa makubwa baada ya mfumo wa apartheid kudhihirika kuwa sio sustainable...
ZeMarcopolo,

..I agree with most of what u have written here, if not all of it.

..kama wanavyosema Mandela hakuwa perfect, na hayo uliyoyaeleza ni kati ya mapungufu yake.

..mimi kwa upande wangu namlaumu Madiba kwa ile division iliyotokea ktk SADC wakati majeshi ya Zim, Nam, na Angl, yametumwa kwenda kuzima uasi DRC.
 
Last edited by a moderator:
Utalinganisha vipi watu wawili ambao wamekua katika mazingira tofauti? Ni upi mchango wa Nyerere alishiriki katika kupigania uhuru wa nchi nyingine za Africa kabla ya mwaka 1961? Hakuna. Mchango wa Nyerere ulianza baada ya Tanganyika (Tanzania) kuwa huru. Sasa ni kivipi Mandela angeshiriki katika harakati za kupigania uhuru kwa nchi nyingine za Africa ikiwa kwanza South Africa bado ilikuwa inapigania utawala wa wengi toka kwa makaburu, na wakati huo huo Mandela akiwa gerezani kwa muda mwingi? Nyerere tumlinganishe na kina Nkrumah, Kenyatta na marais wa nchi nyingine zilizowahi kupata uhuru mapema 1950s na 1960s.

Pole, ukombozi wa mtu mweusi ulikamilika baada ya Africa Kusini kupata uhuru?
 
Back
Top Bottom