Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,772
Wazanzibari? Mwinyi alitufanyaje alipokuwa Ikulu?
Mwinyi tatizo lake ilikuwa hana la kusema mbele ya mkewe mama Sitti, ambaye inaonyesha alikuwa si tu anatumia nafasi yake ya kuwa Ikulu vibaya, bali pia alihusudu sana Wahindi na Waarabu.