The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,279
Haya mkuuYes if possible mbona wakutoa hamu wako wengi na inakuwa no attachment at all aisee.
Haya mkuuYes if possible mbona wakutoa hamu wako wengi na inakuwa no attachment at all aisee.
R I PFamilia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa
Very sad story
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa
Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.
Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.
“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.
“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.
Soma pia
1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili
View attachment 1816190
Ndiyo maana kunahitajika mpelelezi mwenye uwezo wa kutomasa kila sehemu hadi huko South,lazima atapata ukweli wa chanzo Cha mauwaji hayo! Unaweza kuta kifo Cha Mume huko South ni mwendelezo wa mauwaji ya mke na Watoto huku Tanzania!!Daaah vifo vyao ni utata tupu. Wapumzike kwa amani.
Whoever did it atakua mtu au watu ambao watanufaika na kutokuwepo kwa mama na wanae wa pekee..boyfriend hawezi kunufaika na chochote...mlinzi kama kweli alikua anafokewa na manyanyaso angewaibia siku moja na kutokomea ili kuwakomesha..
Kuna mtu mmoja ambaye anamfahamu huyo Shadrack anadai kwamba hizi tuhuma za kuuwa si mara ya kwanza kwake,alishatuhumiwa kuuwa huko kijijini kwao alikokuwa akiitwa Shalaki na kukimbilia Dar na kujiita Shadrack,inasemekana alimchinja mjomba yake kwa tuhuma za kishirikina.Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa
Very sad story
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa
Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.
Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.
“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.
“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.
Soma pia
1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili
View attachment 1816190
Kila Mtu ale au aliwe anvyopenda! Sisi Wanaume tuko flexible! Ukitaka kusuguliwa sema usiogope,utasuguliwa vizuri tu! Na ukitaka kupapaswa sema napenda kupapaswa na utapapaswa vizuri tu! Hata Kama kuna wale wanaopenda kunyonywa t nao wawe huru kusema! Msiisemee pembeni,semeeni palepale kwenye show! Msizani sisi Wanaume ni Malaika kwamba tutajua unachopenda bila wwe kusema!!Niseme na wewe umedandia maana ulipoanza kujibu ulijibu huku ukiwa hujanielewa na ukaleta mada zako mpya ndani yake maneno ambayo sikuyaweka kwenye original comment yangu
Itoshe kusema hukunielewa
Hata hivyo kama kuna watu wanataka kusuguliwa wacha wasuguliwe kama wanataka wapapaswe wacha wapapaswe kila mtu afanye atakacho kuwashangaa Au kuwapangia ni kama vile wewe kusugua huwezi Au unawaonea uwivu wanao suguliwa
Happy Sunday mkuu
Duh..kumbe ana background ya umwagaji damuKuna mtu mmoja ambaye anamfahamu huyo Shadrack anadai kwamba hizi tuhuma za kuuwa si mara ya kwanza kwake,alishatuhumiwa kuuwa huko kijijini kwao alikokuwa akiitwa Shalaki na kukimbilia Dar na kujiita Shadrack,inasemekana alimchinja mjomba yake kwa tuhuma za kishirikina.
Jamani matajiri msichukue watu ambao hata hamjui historia yao ya nyuma,chondechonde.
Sasa mbona mnatutia nyege! Kumbukeni tuna Msiba! Na maada ni mauwaji!!Unatusemea kama nani na wewe ni mume?
Nikuulize basi unajua kusuguliwa huwa tunajisikiaje....
Kitu nimekusoma wewe ni msahaulifu rejea comment yako ya kwanza ulio kurupuka kuijibu soma nilicho kiandika na ulicho kijibu unapoteza maana ya hata tulipo anzia
Kwanza umejibu ukajaribu kunifanya mimi ni mdogo na mgeni wa mboo
Haya wewe mwenyeji wa mboo ukisuguliwa huwa unaumia,maana unaponda kusuguliwa kama vile unajua huwa tunajisikia vipi....hebu tulia tuishie hukunielewa tu yaishe
Rahaa ya uchunguzi ufanyike kwa wakati!!Uchunguzi utafanyika, naamini haki itatendeka na wahusika watapewa stahiki yao kama adhabu ya kudhulumu uhai wa familia nzima
Nitaingia dhambini ngoja nisicommentWanaume wa Bongo tunakosea wapi? Tunadhani sex ya kumridhisha mwanamke ni ujuzi wa kusugua na pherhaps kusugua kwa muda mrefu! 🤣. Mazee bila shaka wewe ni mchanga sana kiumri ndiyo maana. Kwenye hayo mambo kuna zaidi ya kusugua. Trust me, kua uyaone! Kumbe ndiyo maana vumbi wa Kongo lina soko sana mkidhani kusugua ndiyo mambo yote! Ukikua utaacha bila shaka.
Hata mm wamenivuruga balaa angel mayou na macho mdiliko🤭Sasa mbona mnatutia nyege! Kumbukeni tuna Msiba! Na maada ni mauwaji!!
Jaman mnaingia deep sana😋!Unatusemea kama nani na wewe ni mume?
Nikuulize basi unajua kusuguliwa huwa tunajisikiaje....
Kitu nimekusoma wewe ni msahaulifu rejea comment yako ya kwanza ulio kurupuka kuijibu soma nilicho kiandika na ulicho kijibu unapoteza maana ya hata tulipo anzia
Kwanza umejibu ukajaribu kunifanya mimi ni mdogo na mgeni wa mboo
Haya wewe mwenyeji wa mboo ukisuguliwa huwa unaumia,maana unaponda kusuguliwa kama vile unajua huwa tunajisikia vipi....hebu tulia tuishie hukunielewa tu yaishe
Mimi masuala ya kusuguana lisaa au 30min( i mean unapump tuuuuu 😏😒 sitaki...huna technques bas uniache..khaa..kuchoshana mm sitak kbs...Wanaume wa Bongo tunakosea wapi? Tunadhani sex ya kumridhisha mwanamke ni ujuzi wa kusugua na pherhaps kusugua kwa muda mrefu! 🤣. Mazee bila shaka wewe ni mchanga sana kiumri ndiyo maana. Kwenye hayo mambo kuna zaidi ya kusugua. Trust me, kua uyaone! Kumbe ndiyo maana vumbi wa Kongo lina soko sana mkidhani kusugua ndiyo mambo yote! Ukikua utaacha bila shaka.
Alafu wwe utamponza mwenzio hapa Nyumbani, maana mnavyozidi kutuwasha humu,muda si mrefu nitamchoropoa huko jikoni aje nimpe haki yake!! Jamani turudini tu kwenye maada ya mauwaji ya familia!!Mimi masuala ya kusuguana lisaa au 30min( i mean unapump tuuuuu sitaki...huna technques bas uniache..khaa..kuchoshana mm sitak kbs...
Sorry bossAlafu wwe utamponza mwenzio hapa Nyumbani, maana mnavyozidi kutuwasha humu,muda si mrefu nitamchoropoa huko jikoni aje nimpe haki yake!! Jamani turudini tu kwenye maada ya mauwaji ya familia!!
AMEIBA KIASI GANI CHA FEDHA , HUYO BOYFRIEND?Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa
Very sad story
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa
Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.
Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.
“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.
“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.
Soma pia
1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili
View attachment 1816190