Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa
Very sad story

Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa

Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.

Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.

“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.

“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.


Soma pia

1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili

View attachment 1816190
R I P
 
Whoever did it atakua mtu au watu ambao watanufaika na kutokuwepo kwa mama na wanae wa pekee..boyfriend hawezi kunufaika na chochote...mlinzi kama kweli alikua anafokewa na manyanyaso angewaibia siku moja na kutokomea ili kuwakomesha..

Mimi pia nahisi ni beneficial... ndugu wanaopaswa warithi mali hizo... waangaliwe sana
 
Pole sana kwa ndugu na jamaa, marehemu mme wake ambaye pia ni marehemu namfahamu kidogo na tuliwahi kutana Bukoba 2011 kwa Tall & Kipara fundi simu kwani simu yake samsung galaxy s2 ilikuwa na shida na Kipara akishindwa kulitatua. Nakumbuka usiku wake tulikutana tena Linaz night club na alinikumbuka na akatupa offer ya vinywaji na washikaji zangu. Alikuwa mtu poa sana na asiye na majivuno .Nahisi Kuna uhusika wa ndugu katika hiki kisa cha mama na watoto kuuawa
 
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa
Very sad story

Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa

Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.

Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.

“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.

“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.


Soma pia

1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili

View attachment 1816190
Kuna mtu mmoja ambaye anamfahamu huyo Shadrack anadai kwamba hizi tuhuma za kuuwa si mara ya kwanza kwake,alishatuhumiwa kuuwa huko kijijini kwao alikokuwa akiitwa Shalaki na kukimbilia Dar na kujiita Shadrack,inasemekana alimchinja mjomba yake kwa tuhuma za kishirikina.
Jamani matajiri msichukue watu ambao hata hamjui historia yao ya nyuma,chondechonde.
 
Niseme na wewe umedandia maana ulipoanza kujibu ulijibu huku ukiwa hujanielewa na ukaleta mada zako mpya ndani yake maneno ambayo sikuyaweka kwenye original comment yangu
Itoshe kusema hukunielewa
Hata hivyo kama kuna watu wanataka kusuguliwa wacha wasuguliwe kama wanataka wapapaswe wacha wapapaswe kila mtu afanye atakacho kuwashangaa Au kuwapangia ni kama vile wewe kusugua huwezi Au unawaonea uwivu wanao suguliwa
Happy Sunday mkuu
Kila Mtu ale au aliwe anvyopenda! Sisi Wanaume tuko flexible! Ukitaka kusuguliwa sema usiogope,utasuguliwa vizuri tu! Na ukitaka kupapaswa sema napenda kupapaswa na utapapaswa vizuri tu! Hata Kama kuna wale wanaopenda kunyonywa t nao wawe huru kusema! Msiisemee pembeni,semeeni palepale kwenye show! Msizani sisi Wanaume ni Malaika kwamba tutajua unachopenda bila wwe kusema!!
 
Kuna mtu mmoja ambaye anamfahamu huyo Shadrack anadai kwamba hizi tuhuma za kuuwa si mara ya kwanza kwake,alishatuhumiwa kuuwa huko kijijini kwao alikokuwa akiitwa Shalaki na kukimbilia Dar na kujiita Shadrack,inasemekana alimchinja mjomba yake kwa tuhuma za kishirikina.
Jamani matajiri msichukue watu ambao hata hamjui historia yao ya nyuma,chondechonde.
Duh..kumbe ana background ya umwagaji damu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatusemea kama nani na wewe ni mume?
Nikuulize basi unajua kusuguliwa huwa tunajisikiaje....
Kitu nimekusoma wewe ni msahaulifu rejea comment yako ya kwanza ulio kurupuka kuijibu soma nilicho kiandika na ulicho kijibu unapoteza maana ya hata tulipo anzia
Kwanza umejibu ukajaribu kunifanya mimi ni mdogo na mgeni wa mboo
Haya wewe mwenyeji wa mboo ukisuguliwa huwa unaumia,maana unaponda kusuguliwa kama vile unajua huwa tunajisikia vipi....hebu tulia tuishie hukunielewa tu yaishe
Sasa mbona mnatutia nyege! Kumbukeni tuna Msiba! Na maada ni mauwaji!!
 
Wanaume wa Bongo tunakosea wapi? Tunadhani sex ya kumridhisha mwanamke ni ujuzi wa kusugua na pherhaps kusugua kwa muda mrefu! 🤣. Mazee bila shaka wewe ni mchanga sana kiumri ndiyo maana. Kwenye hayo mambo kuna zaidi ya kusugua. Trust me, kua uyaone! Kumbe ndiyo maana vumbi wa Kongo lina soko sana mkidhani kusugua ndiyo mambo yote! Ukikua utaacha bila shaka.
Nitaingia dhambini ngoja nisicomment
 
Unatusemea kama nani na wewe ni mume?
Nikuulize basi unajua kusuguliwa huwa tunajisikiaje....
Kitu nimekusoma wewe ni msahaulifu rejea comment yako ya kwanza ulio kurupuka kuijibu soma nilicho kiandika na ulicho kijibu unapoteza maana ya hata tulipo anzia
Kwanza umejibu ukajaribu kunifanya mimi ni mdogo na mgeni wa mboo
Haya wewe mwenyeji wa mboo ukisuguliwa huwa unaumia,maana unaponda kusuguliwa kama vile unajua huwa tunajisikia vipi....hebu tulia tuishie hukunielewa tu yaishe
Jaman mnaingia deep sana😋!
 
Wanaume wa Bongo tunakosea wapi? Tunadhani sex ya kumridhisha mwanamke ni ujuzi wa kusugua na pherhaps kusugua kwa muda mrefu! 🤣. Mazee bila shaka wewe ni mchanga sana kiumri ndiyo maana. Kwenye hayo mambo kuna zaidi ya kusugua. Trust me, kua uyaone! Kumbe ndiyo maana vumbi wa Kongo lina soko sana mkidhani kusugua ndiyo mambo yote! Ukikua utaacha bila shaka.
Mimi masuala ya kusuguana lisaa au 30min( i mean unapump tuuuuu 😏😒 sitaki...huna technques bas uniache..khaa..kuchoshana mm sitak kbs...
 
Mimi masuala ya kusuguana lisaa au 30min( i mean unapump tuuuuu sitaki...huna technques bas uniache..khaa..kuchoshana mm sitak kbs...
Alafu wwe utamponza mwenzio hapa Nyumbani, maana mnavyozidi kutuwasha humu,muda si mrefu nitamchoropoa huko jikoni aje nimpe haki yake!! Jamani turudini tu kwenye maada ya mauwaji ya familia!!
 
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa
Very sad story

Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa

Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.

Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.

“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.

“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.


Soma pia

1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili

View attachment 1816190
AMEIBA KIASI GANI CHA FEDHA , HUYO BOYFRIEND?
 
Hii case inafanana na ya Said ntimizi alipooondoa uhai wa yule mama mwenye shule na kumzika ndani ya ceptic tank.

Nahisi kama saidi yuko out of prison ila kalay low. Kama yule aliyemuua marehemu ayoub naye katoka jela conrad. Wauaji bongo wengine huwa wana toka ( mapungufu makubwa haya kwa wahusika).

Issue ya huyu dada nadhani kuna mambo ya kishirikina pia toka kwa ndugu wa mume wanaotaka kurithi mali ya mumewe. Kuna nguvu za giza hapa zimekuwa triggered. Houseboy amekuwa kama agent of action in the spirit realm.
 
Back
Top Bottom