Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Ikija kwenye suala la PR Lissu anaigaragaza vibaya sana serikali.
Na si kwa sababu ya umahiri wake kwenye mambo hayo bali ni kwa sababu ya unforced errors za serikali.
Mystique ya Lissu imeongezeka sana baada ya jaribio kubuma na ataporudi nadhani nchi nzima itasimama!
Pia, sasa hivi hata 'street cred' imeongezeka. Mtu kutandikwa marisasi yote hayo na ukanusurika kifo...si jambo dogo hilo.
Na kwa sababu hiyo kwa watu wengi atakuwa ni a larger than life hero.
Sasa sijui mkulu kajiandaaje kwa hilo maana kuna kila kiashiria kwamba sasa Lissu atam - upstage mheshimiwa rais kwenye umaarufu.
Only time will tell...so we shall see.
Na si kwa sababu ya umahiri wake kwenye mambo hayo bali ni kwa sababu ya unforced errors za serikali.
Mystique ya Lissu imeongezeka sana baada ya jaribio kubuma na ataporudi nadhani nchi nzima itasimama!
Pia, sasa hivi hata 'street cred' imeongezeka. Mtu kutandikwa marisasi yote hayo na ukanusurika kifo...si jambo dogo hilo.
Na kwa sababu hiyo kwa watu wengi atakuwa ni a larger than life hero.
Sasa sijui mkulu kajiandaaje kwa hilo maana kuna kila kiashiria kwamba sasa Lissu atam - upstage mheshimiwa rais kwenye umaarufu.
Only time will tell...so we shall see.