bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,456
- 12,666
Msaada upi??? Wewe ni mshenzi kweli kwani Lissu mi mkenya??? Eti msaada why wasimtibu km raia wa nchi hii na umhimu wake(Mbunge/President/ TLS na mfanyakazi/mdau wa mahakama).Tunaomba baadae isilete shida, kama kweli lisu na familia yake wamekataa msaada basi Watanzania, tumewaelewa. Tunaiweka kwenye kumbukumbu.
Kiukweli mimi CCM ila kuna wakati huwa nawachoka akili za viazimbatata za sisi wanaccm.
Ebu tujiongeze aisei, tutakuja kuzalisha chuki na mawazo mabaya kwa vizazi vijavyo..!