Makuti Malubu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2017
- 363
- 190
Wapo watu wachache wenye mashetani na uzm wa watanzania kwao ni Msiba. Poleni sanaaaaa !!! Kwa TL Tutachanga tuuuu nyie vp ???
Vipi kuhusu yule jamaa aliepigwa risasi tano na majambazi harafu kesho yake tu anaongea kama DJ wa redio uhuru! Yeye hazikuingia vizuri tumboni ?Mtu ambaye yuko kwenye critical condition (= edge of life) in ICU hawezi kuwaza mambo ya dunia hii. Jana tu mwenyekiti wa chadema alitutahadharisha kuwa tusisikilize taarifa zo zote isipokuwa zile atakazotoa yeye. Zingine zote si rasimu na ni za uwongo/ uzushi tu. Mtu ukiwa ICU huruhusiwi kuwa na simu wala kupokea au kupiga simu. Hivyo hayo maongezi ni ya kutunga, ni hewa. Mwacheni Lissu ampumzike ili aweze kupata quick recovery.
Hata wangetumia vifaru ni kazi bure maana Lissu ana ngao ya Mungu..Huyu Mnyaturu ameshindikana.
..labda wangemshambulia kwa makombora ya katyusha / stalin's organ.
..hivyo vi-machine gun vyao havijafanya kazi.
cc Copenhagen DN , Pascal Mayalla
Ujasiri utakuwa umeongezeka mkuu.....Inaelekea kilichoathirika ni mwili tu.
..AKILI na UJASIRI wake viko palepale.
..sijaona Mtanzania mwenye MSIMAMO kama huyu.
..Wakili Alute Mughwai akiwasilisha ujumbe wa Tundu Lissu ktk mkutano wa Mawakili uliofanyika Arusha.
Safi. Safi kabisaTunaendelea na michango. Halafu pesa haijawahi okoa mtu zaidi ya mapenzi ya Mungu. Pesa hutibu. Mungu huponya.
Wangeongea na kale kajamaa kapanki kangewasaidia kombora la nyuklia c nasikia kuna uhusiano nako..Huyu Mnyaturu ameshindikana.
..labda wangemshambulia kwa makombora ya katyusha / stalin's organ.
..hivyo vi-machine gun vyao havijafanya kazi.
cc Copenhagen DN , Pascal Mayalla