Siasa inalipa barani africa, ni biashara nzuri sana, hata wazungu huko ulaya wameistukia hii biashara.....sasa wafanyabiashara wakubwa wana kimbilia kwenye siasa.
Sio ajabu ukute Chenge akawa na Mkwanga kuliko Mengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.