Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Ahsante sana mkuu, juzi nilipita mitaa ya kina Boflo nikakuona umetulia mzee.
mi sitaki huko bwana njoo huku ununioTwende Kigamboni bana South Beach.
Aisee nami kuna kitu nimeshtuka, fimbo ya mbali haiui snake natafuta wa hapa hapa na kuanzia naomba mwongozo kwa PJ, TANMO, FILIPO, YOUNG MASTER, B52 NA WENGINE NISIJEINGIA ANGA ZAO. NASAKA DEM WA A. CITY.
baba yako kaenda kupanda farasi wewe sasa hivi unaufakamia ulabu najua upo leaders club sasa hivi unatandika moja moto moja bardi sasa hadi muda ukifika ww si utakuwa chali tayari
Nisamehe bure...nakupenda sana.
Ningekupa sweetlady lakini anakaa unga limited!
hommie karibu dar kuna madem wa ukwee kama madame b etc, vipi hata hivyo nilijua Madame B ndio shem au umemuogopa yule mwanasheria uchwara ruttashobolwa ?
BADILI TABIA ndo kusema?
TANMO mi natoa copy mbili, moja kwa Amyner (always in ma heart) na FP (Mwaaaaah) na kwa Ritz (Achana na SISIEM)Copy kwa Ritz
Copy kwa Rejao
Copy kwa Faiza Foxy
Copy kwa Malaria Sugu
Copy kwa Magwanda popote walipo
Copy kwa Magamba popote walipo
Copy kwa Kafuu popote walipo
Copy kwa Tielipii popote walipo