Familia yote ya GSM kama ilivyo familia ya Dewji Na Bakhresa ni wana Simba GSM yupo yanga kibiashara na anatamani Kuisupport Simba ila Mo hawezi kumpa hiyo nafasi.
Aliyemleta GSM Yanga ni mbia wake kibiashara ambaye ni Rais mstaafu...nimtaje? Ipo siku ether bakhresa au GSM ataimiliki Simba maana Simba ni jina kubwa Africa kibiashara na imemlemea Mo.
Mo anafirisika taratibu tangu atekwe
Yanga ni Simba B au kampuni tanzu ya Simba,ukishangilia mafanikio ya Yanga ujue unashangilia Simba.wanabadilishana viongozi na wachezaji kwa maslahi yao tu .ila wenye akili ndogo kwa mujibu wa mama Samia ndio hawaelewi hilo
Aliyemleta GSM Yanga ni mbia wake kibiashara ambaye ni Rais mstaafu...nimtaje? Ipo siku ether bakhresa au GSM ataimiliki Simba maana Simba ni jina kubwa Africa kibiashara na imemlemea Mo.
Mo anafirisika taratibu tangu atekwe
Yanga ni Simba B au kampuni tanzu ya Simba,ukishangilia mafanikio ya Yanga ujue unashangilia Simba.wanabadilishana viongozi na wachezaji kwa maslahi yao tu .ila wenye akili ndogo kwa mujibu wa mama Samia ndio hawaelewi hilo