Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,379
- 30,829
Hivi hizi familia zina hali gani mpaka sasa, je matumbo yaliyowazaa watu hawa na maziwa yaliyowanyonyesha yanajisikia vibaya kwa kiwango gani?
Najaribu kuvaa viatu vya mama yake Ben na mke wa Azory.
Nishauri utawala huu ukiondoka madarakani ndugu wote waliopotelewa na ndugu zao wajiorodheshe majina waombe uchunguzi huru juu ya WHEREABOUTS ya ndugu zao.
Kupotelewa na mme au mtoto sio Jambo dogo hata kidogo. Ndugu zangu watanzania tunapoelekea uchaguzi tutafakari pia machungu waliyonayo wanafamilia na wanaukoo waliopotelewa na ndugu zao katika mazingira ya kutatanisha halafu polisi wanachukulia POA.
Adimin naomba msiu merge Wala kuufuta Uzi huu.
Akhsante.
S...!
Najaribu kuvaa viatu vya mama yake Ben na mke wa Azory.
Nishauri utawala huu ukiondoka madarakani ndugu wote waliopotelewa na ndugu zao wajiorodheshe majina waombe uchunguzi huru juu ya WHEREABOUTS ya ndugu zao.
Kupotelewa na mme au mtoto sio Jambo dogo hata kidogo. Ndugu zangu watanzania tunapoelekea uchaguzi tutafakari pia machungu waliyonayo wanafamilia na wanaukoo waliopotelewa na ndugu zao katika mazingira ya kutatanisha halafu polisi wanachukulia POA.
Adimin naomba msiu merge Wala kuufuta Uzi huu.
Akhsante.
S...!