Familia ya Aqulina Ina Kila Sababu Kukataa Msaada wa Mazishi wa Serikali

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,794
71,214
Kauli za kuchanganya zinazotolewa na Mambosasa ni sababu tosha kuifanya familia ya marehemu Aqulina kuona kuwa unafanyika usanii juu ya kifo cha kusikitisha cha mtoto wao hivyo wana haki kukataa msaada aliosema Ndalichako kuwa utatolewa wa mazishi kwani ni kama dharau kwao.
Ndugu, jamaa na marafiki hawashindwi kuwachangia ili kukwepa mauaji hayo kufanywa kitu cha kutupia lawama wengine
 
Kauli za kuchanganya zinazotolewa na Mambosasa ni sababu tosha kuifanya familia ya marehemu Aqulina kuona kuwa unafanyika usanii juu ya kifo cha kusikitisha cha mtoto wao hivyo wana haki kukataa msaada aliosema Ndalichako kuwa utatolewa wa mazishi kwani ni kama dharau kwao.
Ndugu, jamaa na marafiki hawashindwi kuwachangia ili kukwepa mauaji hayo kufanywa kitu cha kutupia lawama wengine
Na nyie bavicha hamueleweki, mwenzako kaanzisha uzi wafidiwe na pia shughuli za mazishi wagharamie, wewe unakuja na lako pia, yaani ili mradi kila mtu katumia fursa hii.
Shame on you!
 
Na nyie bavicha hamueleweki, mwenzako kaanzisha uzi wafidiwe na pia shughuli za mazishi wagharamie, wewe unakuja na lako pia, yaani ili mradi kila mtu katumia fursa hii.
Shame on you!
Kwani wamekwambia wameshindwa kumzika mtoto wao??? Kwenye huo ukoo watu wakifahuwa mnagharamia maziko?
 
Kauli za kuchanganya zinazotolewa na Mambosasa ni sababu tosha kuifanya familia ya marehemu Aqulina kuona kuwa unafanyika usanii juu ya kifo cha kusikitisha cha mtoto wao hivyo wana haki kukataa msaada aliosema Ndalichako kuwa utatolewa wa mazishi kwani ni kama dharau kwao.
Ndugu, jamaa na marafiki hawashindwi kuwachangia ili kukwepa mauaji hayo kufanywa kitu cha kutupia lawama wengine
Hata Polepole anasema alikuwa kwenye maandamano
 
Nashukuru sana kwa serikali kuingilia kati huu msiba kuna watu wangegeuza misa ya mazishi ulingo wa siasa, safi sana serikali kusimamia hili hawatapata nafasi sababu after all wao ndio chanzo cha haya yote
 
Kauli za kuchanganya zinazotolewa na Mambosasa ni sababu tosha kuifanya familia ya marehemu Aqulina kuona kuwa unafanyika usanii juu ya kifo cha kusikitisha cha mtoto wao hivyo wana haki kukataa msaada aliosema Ndalichako kuwa utatolewa wa mazishi kwani ni kama dharau kwao.
Ndugu, jamaa na marafiki hawashindwi kuwachangia ili kukwepa mauaji hayo kufanywa kitu cha kutupia lawama wengine
Naunga mkono hoja hii .
 
Wakatae halafu baadae waanze kudai Kama CDM, si ndyo? Kwenye tukio la Mhe Lissu tuliona CDM wakikataa utaratibu wa Serikali na leo kilio kila siku kwamba Serikali imemtelekeza mgonjwa!
Tufuate utaratibu jamani.

Tatizo limetokea tusitafute Kiki na kusababisha matatizo mengine. Familia na Nchi kwa ujumla tumefikwa na msiba mkubwa. Ni vyema tukautumia muda huu kuifariji familia na kuangalia njia Bora zaidi za kuomboleza bila kuwaongezea maumivu zaidi wenzetu waliokutana na changamoto hii kubwa ya demokrasia.
 
Nashukuru sana kwa serikali kuingilia kati huu msiba kuna watu wangegeuza misa ya mazishi ulingo wa siasa, safi sana serikali kusimamia hili hawatapata nafasi sababu after all wao ndio chanzo cha haya yote
Kweli kabisa serikali ikubali iliuwa kwa uzembe na iombe msamaha familia na ilipe fidia japo haiwezi kurudisha uhai.Kwani maziko huo ukoo wa Aquiline wakifa wanazikwa na serikali?Wanazikazikaje labda hao serikali kama wauwaji au kama wasamaria tuanze hapo.
 
Wakatae halafu baadae waanze kudai Kama CDM, si ndyo? Kwenye tukio la Mhe Lissu tuliona CDM wakikataa utaratibu wa Serikali na leo kilio kila siku kwamba Serikali imemtelekeza mgonjwa!
Tufuate utaratibu jamani.

Tatizo limetokea tusitafute Kiki na kusababisha matatizo mengine. Familia na Nchi kwa ujumla tumefikwa na msiba mkubwa. Ni vyema tukautumia muda huu kuifariji familia na kuangalia njia Bora zaidi za kuomboleza bila kuwaongezea maumivu zaidi wenzetu waliokutana na changamoto hii kubwa ya demokrasia.
Hakuna njia bora ya kuomboleza .......hizo njia zitamrudisha? Mkikosea kubalini makosa yenu punguzeni malumbano yasiyo na maana. Uchungu wa mwana aijuae mzazi... Rip binti
 
Hakuna njia bora ya kuomboleza .......hizo njia zitamrudisha? Mkikosea kubalini makosa yenu punguzeni malumbano yasiyo na maana. Uchungu wa mwana aijuae mzazi... Rip binti
Kwa hyo kwa mtazamo wako njia Bora ni kulumbana na Serikali, si ndyo!?
 
Back
Top Bottom