coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 2,919
- 1,968
Problem solvedKitu kinacho nishangaza mimi kuhusu hawa jamaa wa Magamba ni UROHO WA MADARAKA!
Wewe ni Mbunge wa jimbo kwa kuchaguliwa au kwa kuteuliwa bado unaenda kugombea Ujumbe wa Mkutano wa Taifa ili iweje???Kwanini watu wanakuwa na tamaa mbaya ya madaraka kwa kujirundikia vyeo au madaraka mbalimbali ilhali kuna watu hawana hata cheo kimoja???Unakuta Mbunge huyo huyo ni Waziri,huyohuyo ni Mjumbe wa CC,huyohuyo ni mjumbe wa NEC, huyohuyo ni mjumbe wa Board,huyohuyo ni mlezi wa UVCCM,huyohuyo ni Mwenyekiti ya Club fulani n.k.,n.k.
CCM badilikeni muwaachie na wengine madaraka. Msifikiri nyie kuwa mna akili sana kuliko watu wote,after all hatuoni huo uwezo wenu katika kuongoza zaidi ya kuendekeza ufisadi na umalaya! Badilikeni!