johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Familia moja inayoishi eneo la Kimara imepoteza watu 5 yaani mama na watoto wake wanne waliokufa kwa kukanyagwa uwanja wa uhuru wakati wa kumuaga hayati Magufuli
Kamanda Mambosasa wa kanda maalumu ya Dar es salaam amesema atatoa taarifa kamili ya yaliyojiri kama kuna vifo na majeruhi siku ya Jumanne.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
PIA SOMA>> Tetesi: - Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu wapoteza maisha kutoka na msongamano
Kamanda Mambosasa wa kanda maalumu ya Dar es salaam amesema atatoa taarifa kamili ya yaliyojiri kama kuna vifo na majeruhi siku ya Jumanne.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
PIA SOMA>> Tetesi: - Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu wapoteza maisha kutoka na msongamano