EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,524
Tumeona wasanii wengi sana ili wafanikiwe wamekuwa wakifanya manbo ambayo yahakubaliki katika jamii (jamii ambayo haijapotoka).
Si ajabu kumuona mwanamziki au msanii wa kiume akiwa amevaa nguo za kike jukwaani wengine tumazani ni style kumbe kuna watu wenye nguvu nyuma yao wanaowafanya kufanya hayo wanayoyafanya, wengine hata wanatuhumiwa na jamii kwamba wanaingiliana na wenzao wa jinsi moja.
Anyway usitamani mafanikio ya haraka ungejua wanayoyapitia usingewaza hata kiwa kama wao.
Pambana na hali yako.
Huyu ni mshindi wa kwanza MWEUSI kushinda tuzo za OSCAR zinazoheshimika saana Amerika
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ajabu kumuona mwanamziki au msanii wa kiume akiwa amevaa nguo za kike jukwaani wengine tumazani ni style kumbe kuna watu wenye nguvu nyuma yao wanaowafanya kufanya hayo wanayoyafanya, wengine hata wanatuhumiwa na jamii kwamba wanaingiliana na wenzao wa jinsi moja.
Anyway usitamani mafanikio ya haraka ungejua wanayoyapitia usingewaza hata kiwa kama wao.
Pambana na hali yako.
Huyu ni mshindi wa kwanza MWEUSI kushinda tuzo za OSCAR zinazoheshimika saana Amerika
Sent using Jamii Forums mobile app