Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,595
- 8,729
Kuna wimbi kubwa wengi tunapenda kuokota bila kufatilia kiundani sana.
Kama utakuwa umebahatika kujua na kusoma vizuri utawala adolph hilter basi utaona kuna chechembe nyingi aina ya viongozi wengi wakitumia ili kubaki, kukubalika na hata kutenganisha watu.
Sio mgeni ndani ya nchi yetu na nchi nyengine tumeona kabisa viongozi wengi wakiweka kinga hizo ili watu wafumbwe macho kujua ndio mtawala mzuri.
Viongozi hawa wanaweza kutenganisha nchi, ukabira,dini, matukio na mbinu zozote ili mradi tu waendelea kuungwa mkono kwa mbinu zozote.
Leo nikamkumbuka bwana Yahya Jammeh. Huyu jamaa ukiangalia mambo aliyofanya mpaka kudai kutibu ukimwi kwa kisingizio cha imani.
Nika mkumbuka Marehemu Mugabe. Baada ya kuona kunaelekea kubaya kwenye madaraka akaanza kufukuza wazungu ili kuungwa mkono.
Nika mkumbuka awamu ya tano. Alivotutenganisha maskini na matajiri akijua maskini tupo wengi tokea ccm kuingia madarakani.
Hawa ni wachache ambao nikijaza itakuwa nawachosha.
Falsafa za viongozi wengi wanaposhindwa
Kama utakuwa umebahatika kujua na kusoma vizuri utawala adolph hilter basi utaona kuna chechembe nyingi aina ya viongozi wengi wakitumia ili kubaki, kukubalika na hata kutenganisha watu.
Sio mgeni ndani ya nchi yetu na nchi nyengine tumeona kabisa viongozi wengi wakiweka kinga hizo ili watu wafumbwe macho kujua ndio mtawala mzuri.
Viongozi hawa wanaweza kutenganisha nchi, ukabira,dini, matukio na mbinu zozote ili mradi tu waendelea kuungwa mkono kwa mbinu zozote.
Leo nikamkumbuka bwana Yahya Jammeh. Huyu jamaa ukiangalia mambo aliyofanya mpaka kudai kutibu ukimwi kwa kisingizio cha imani.
Nika mkumbuka Marehemu Mugabe. Baada ya kuona kunaelekea kubaya kwenye madaraka akaanza kufukuza wazungu ili kuungwa mkono.
Nika mkumbuka awamu ya tano. Alivotutenganisha maskini na matajiri akijua maskini tupo wengi tokea ccm kuingia madarakani.
Hawa ni wachache ambao nikijaza itakuwa nawachosha.
Falsafa za viongozi wengi wanaposhindwa