PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,107
- 14,352
kanawe miguu ukalale naona unamwaga povuBarcelona 0 -4
kanawe miguu ukalale naona unamwaga povuBarcelona 0 -4
Nilitabiri madrid tutawafunga brca 6-0 ila kwa kuea juma mosi tumecheza vibaya na nyie marefa wana wabeba sana sasa nimetabiri 4-0 tuuMkuu nipo hapa huyu mkuu mara zote thread zake ni kuiponda Barca au Messi.hivo nishamzoea ila dawa yake inachemka DECEMBER 3
Mkuu hayo ni maoni yangu tuu hebu linganisha barca ya leo na ile ya miaka 5 nyuma timu imepungua makali hata ile fear factor kwa baadhi ya timu imepungua sikatai walikua na Majeruhi Wengi Pique,Alba,Sasa Iniesta ila kuna wachezaji muhimu wameondoka pale mapengo yao yameshindwa kuziba,Xavi na Alves pia wanatakiwa wasajili beki mmoja mzoefu kusaidiana na Pique pale nyuma Sikatai Marcherano ni mzuri ila kuna wakati anapoteza umakini Umri nao kidogo unachangia na asili yake ni kiungo yuleMkuu nipo hapa huyu mkuu mara zote thread zake ni kuiponda Barca au Messi.hivo nishamzoea ila dawa yake inachemka DECEMBER 3
mkuu unafikiri hii ni MAN CITY waliokutandika 6Nilitabiri madrid tutawafunga 6-0 ila kwa kuea juma mosi tumecgeza vibaya na nyie marefa wana wabeba sana sasa nimetabiri 4-0 tuu
mkuu unafikiri hii ni MAN CITY waliokutandika 6
Na wachezaji wote waliopita La Masia viwango vyao haviyumbi kila mchezo wako Imara Busquet,Iniesta,Pique &MessiEnzi za Guandiola aliwahi kupanga kikosi cha wachezaji wote waliopita la masia isipokuwa Eeick Abidal na Dan Alves. Wengine woote waliokota mpira pale la masia wakiongoza na captain puyol.
nishawazoea na maneno yenu hata 2020 mtakuja sema Barca ya 2016 ilikuwa ni kaliMkuu hayo ni maoni yangu tuu hebu linganisha barca ya leo na ile ya miaka 5 nyuma timu imepungua makali hata ile fear factor kwa baadhi ya timu imepungua sikatai walikua na Majeruhi Wengi Pique,Alba,Sasa Iniesta ila kuna wachezaji muhimu wameondoka pale mapengo yao yameshindwa kuziba,Xavi na Alves pia wanatakiwa wasajili beki mmoja mzoefu kusaidiana na Pique pale nyuma Sikatai Marcherano ni mzuri ila kuna wakati anapoteza umakini Umri nao kidogo unachangia na asili yake ni kiungo yule
Ref nlishawai kupost kuhusu Kuondoka Kwa Dani Alves juzi nimepita kwenye Thread ya Barca pia kuna wadau wanazungumzia hili suala
Sijasema Madrid ana asilimia 100 ya ushindi game za hawa jamaa hazitaribiki mkuu.
Naongea Kimichezo na sio Kishabiki
mkuu hata kwa Trump ulisema utahamia Burundi ila bado upo Newala unakula samaki nchanga
Mwaka huu kwa timu ike Barca mki ifunga Madrid nahamia Burundi
mkuu hata kwa Trump ulisema utahamia Burundi ila bado upo Newala unakula samaki nchanga
Gomez is lazynishawazoea na maneno yenu hata 2020 mtakuja sema Barca ya 2016 ilikuwa ni kali
kuhusu ALVES na XAVI ni wachezaji wazur ila hatuwez kuwa nao hadi uzeeni istoshe BARCA itatisha zaid kuna Serg Gomes na Denis Suarez pamoja na Umtiti hvyo wakishazoeana wachaw mkatafute lingine
Florida ya Tandale
Hebu nitake radhi nilikuwa wakala wa Trump Florida.
Mkimfunga Madrid utaniskia niko kwa Nkurunzinza
huwez sema mchezaji bora ni aliyesawazishaGomez is lazy
Halafu jana dennis Suarez ndio alikuwa mcgezaj bora wenu japo alicheza dk 45, you guyz mko hovyo sanaaa
Unaweza kuwa na wachezaji wazuri ila ukakosa mbinu bora ya kuwaunganisha ref kizazi cha dhahabu real madrid,Ronaldo,Figo,Beckham,Raulnishawazoea na maneno yenu hata 2020 mtakuja sema Barca ya 2016 ilikuwa ni kali
kuhusu ALVES na XAVI ni wachezaji wazur ila hatuwez kuwa nao hadi uzeeni istoshe BARCA itatisha zaid kuna Serg Gomes na Denis Suarez pamoja na Umtiti hvyo wakishazoeana wachaw mkatafute lingine
Kwa unafki wako huwataji akina Rakitic, Neymar na Suarez. Endelea tu kuichukia Barca.Mkuu umeongea pointi sana naona kama La Masia inaanza kufa hakuna Vipaji tena toka pale na hata wakitoka wengi wao huuzwa
Jamaa hawana maskauti wazuri anza Kipa Cillesen,Vidal,Labda Digne kidogo na Umtiti Tangu waige sera ya Madrid ya Kusajili badala ya kuzalisha Vipaji vyao timu haijatulia kabisaa
Mkuu, wewe timu gani?Mkuu naona Kama Luis Enrique timu imekua kubwa kuliko yeye japo kawapa kikombe ila zile touch zao zimepungua sana na hii sera yao ya kusajili ovyo ovyo wanataka kuwaiga real madrid sijui La Masia haitoi vyombo tena
Anhaaa, kumbeeee. Jamaa ni mnafki huyu.Mkuu nipo hapa huyu mkuu mara zote thread zake ni kuiponda Barca au Messi.hivo nishamzoea ila dawa yake inachemka DECEMBER 3
huwez sema mchezaji bora ni aliyesawazisha
Daa kuna thread moja nlileta hapa watu wakasema Rakitic Sio mzuriKwa unafki wako huwataji akina Rakitic, Neymar na Suarez. Endelea tu kuichukia Barca.