Haya mwengine huyu, jukwaa la kutongozana unaulizia Kiswahili. Hapa tongoza hata kichina.Naomba nikuulize , kiswahili fasaha ni kusema "wacheni" au "acheni". Ni hilo tu bibi
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Twende jukwaa la wakubwaWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Nataka niwafundiahe heshima na adabu ya kuheshimu nyuzi na mada za watu. Utakuta jukwaa la siasa mtu eti anakutongoza. Alaaa.
AlhamdukiLlah, hilo ni kweli kabisa.Huyu Faiza ni bibi haswa kama kakaa ndoani miaka 40 basi kwangu anaweza kuwa bibi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba mtu wa miaka 40 wewe anaweza kuwa baba/ mama yako...daah hum ndani humuHuyu Faiza ni bibi haswa kama kakaa ndoani miaka 40 basi kwangu anaweza kuwa bibi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hodari weye