mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Usijali bawasiri itapona tu baada ya muda kidogo.Weka huo uzi.
Nikiumwa chochote kile si ajabu, mimi ni binadam na wanaoumwa huwa hawaombei kuumwa au wewe unaona ajabu mtu akiumwa?
Usifikiri aumwae ni mtihani wake pekee bali ni mtihani mkubwa kwa watu kama wewe ambao hamfahamu maana ya kuumwa.