FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,869
- 109,175
Uamuzi wa kijasiri sana. Hongera Uhuru1, soon Tanzania itakuwa huru
Unazijuwa lakini nchi ambazo hazina uhuru? au hujui maana ya Uhuru wewe?
Uamuzi wa kijasiri sana. Hongera Uhuru1, soon Tanzania itakuwa huru
safi...
sasa napiga nyanga kidogo, halafu baadaye kwenye saa saba hivi naenda kulala.
Jumapili nina test jamani niombeeni.
niwatajie venue?
Kumjua babangu siyo shida. Babangu hausiki na maamuzi yangu, lakini wewe pia kama mzalendo na mama, ungeangalia hali halisi na kuchukua maamuzi magumu badala ya kufanya ushabiki. Maisha wanayoishi watanzania ni sawa na ya wanyama wa porini. Tungeshirkiana kuleta mapinduzi kuliko kumtafuta baba yangu hayatatusaidia. Jiulize ni nini utakachowaachia wanao....
Unazijuwa lakini nchi ambazo hazina uhuru? au hujui maana ya Uhuru wewe?
Umaskini wa Watanzania utoke wapi? ulale, ushinde kwenye mataputapu halafu ulalamike umaskini? umaskini ulikuwepo wakati wa Nyerere, wakati unahamishwa kwako kutupwa porini na watu usiowajuwa ndee wala sikio.
Asante.. Umenena hasa.
Most of us are CCM by "default", that is born by CCM parents, TANU grandparents... you see, it just happened.. We didn't decide.
The present situation is terrible.. but we are still singing "CCM CCM CCM..!!! ................. Why? I will tell you....
Fujo za wapinzani zinatutisha... Wengine, kwa ticket za UN, tumeshatembelea Congo, Somalia..
...Tafadhali waambie hao wapinzani wajaribu kutumia siasa zaidi kuliko kuchochea vurugu na ghasia..................
Hiyo ndio CCM tunaojivunia Tanzania, unakwenda unakopenda, ndio demokrasia, hata Mbowe babake na Mkwewe si walikuwa Serikalini?
Ngoja tumtafute waziri mchaga ni yupi kwa sasa tutamjuwa baba'ko.
vipi unataka umchongee kwa mkameroon?Hiyo ndio CCM tunaojivunia Tanzania, unakwenda unakopenda, ndio demokrasia, hata Mbowe babake na Mkwewe si walikuwa Serikalini?
Ngoja tumtafute waziri mchaga ni yupi kwa sasa tutamjuwa baba'ko.
Nakubaliana nawe, ndugu yangu.
Tatizo kubwa, CCM na wapinzani wake, wapo busy kuonyeshana ubabe wenyewe kwa wenyewe. Wanatumia wananchi kama "tools" bila kujali maslahi yao.
Kwa hiyo akitokea Mpinzani mwenye akili, akawamwagia wananchi sera za kueleweka, na kuonyesha mifano hai ... I am sure wote tutavutika naye.
Nasikia Faiza Fox Una "Mbili". Hebu tuthibitishie.Hiyo ndio CCM tunaojivunia Tanzania, unakwenda unakopenda, ndio demokrasia, hata Mbowe babake na Mkwewe si walikuwa Serikalini?
Ngoja tumtafute waziri mchaga ni yupi kwa sasa tutamjuwa baba'ko.
Hivi kuna ugumu upi hapo, huyo hata CCM yenyewe hana kadi ya uanachama, usifanye maskhara wewe, "eti" mtoto wa waziri, ndio nini? watu wameona mtoto wa Rais hayupo CCM na wala hawakustuka itakuwa waziri?
Unanchekesha!
[/QUOT
ubungo ulionao hivi sasa ni hatari kwa afya yako na sio ule aliokupa ALLAH,kwa kuwa umekubali kupenda mali kuliko kujithamini wewe mwenyewe ubongo wako umekuwa wa kishetani, uko tayari kujiuza ili mradi tu upate mali na kwa wanaume ndo hao wanaoshikiswa ukuta.nimeangalia hata sign yako na sura yako havifanani hata chembe na ubongo wako,kweli shetwani amekutembelea dada,ungekuwa kwetu huku tungekwambia njoo ufanyiwe maombi kwa jina la YESU KRISTO,huko kwenu bwana Inshalah Munyazi Mungu akufanyie TOWFIQ ili siku moja ubongo aliokuumba nao urejee tena kichwani mwako.
Umaskini wa Watanzania utoke wapi? ulale, ushinde kwenye mataputapu halafu ulalamike umaskini? umaskini ulikuwepo wakati wa Nyerere, wakati unahamishwa kwako kutupwa porini na watu usiowajuwa ndee wala sikio.
Acha ujinga wewe mwanamke..! Do u think wote walio maskini wanashinda vilabuni? Unawazungumzia watoto wa maskini tuliosoma kwa kushindia vipande vya mihogo na maji ya bomba la shule(tena binafsi nimesoma dar-mbuyuni primary pale).. Vipi waliosoma vijijini walisoma ktk mazingira gani.? Kuna graduates wengi wenye GPA kali kuliko yako mpaka leo wanahangaika mtaani.. Unafikiri sisi tunafurahi mnapopita barabarani na mikoko yenu? We are poor because of You FF and your relatives.. Better ukae kimya tusitafutiane BAN hapa...! Elimu haijakukomboa wewe.. Kusoma hujui hata picha? Nyambaf
kadri nionavyo, wewe ni kibaraka.unazijuwa lakini nchi ambazo hazina uhuru? Au hujui maana ya uhuru wewe?