Faiza Ally asikitishwa na kitendo cha Sugu bungeni

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,480
9,235
Faiza Ally, aliyekuwa mke wa mbunge wa mbeya mjini na mwanamuziki maarufu hapa nchini (Sugu) amesikitishwa sana kitendo kilichofanywa na mzazi mwenzio huyo bungeni baada ya kuonyesha kidole cha kati ambacho kinaaminika kuwa ni ishara ya tusi ndani ya ukumbi wa bunge.

Mwanamama huyo amedhihirisha masikitiko yake kupitia ukurasa wake wa instragram kwa kupost picha muda mfupi tuu baada ya mbunge huyo kupewa adhabu na kamati ya maadili bunge leo ya kutohudhuria vikao 10 vya bunge kutokana na kitendo alichokifanya ndani ya bunge.

FAIZA.jpg
 
Faiza Ally aliyekuwa mke wa mbunge wa mbeya mjini na mwanamuziki maarufu hapa nchini (Sugu) amesikitishwa sana kitendo kilichofanywa na mzazi mwenzio huyo bungeni baada ya kuonyesha kidole cha kati ambacho kinaaminika kuwa ni ishara ya tusi ndani ya ukumbi wa bunge. Mwanamama huyo amedhihirisha masikitiko yake kupitia ukurasa wake wa istragram kwa kupost picha muda mfupi tuu baada ya mbunge huyo kupewa adhabu na kamati ya maadili bunge leo ya kutohudhuria vikao 10 vya bunge kutokana na kitendo alichokifanya ndani ya bunge.
ATAFUTE MWANAMUME AOLEWE
 
Faiza Ally aliyekuwa mke wa mbunge wa mbeya mjini na mwanamuziki maarufu hapa nchini (Sugu) amesikitishwa sana kitendo kilichofanywa na mzazi mwenzio huyo bungeni baada ya kuonyesha kidole cha kati ambacho kinaaminika kuwa ni ishara ya tusi ndani ya ukumbi wa bunge. Mwanamama huyo amedhihirisha masikitiko yake kupitia ukurasa wake wa istragram kwa kupost picha muda mfupi tuu baada ya mbunge huyo kupewa adhabu na kamati ya maadili bunge leo ya kutohudhuria vikao 10 vya bunge kutokana na kitendo alichokifanya ndani ya bunge.

Ndoa isiyo kuhusu maneno ya nn
 
ishu ni kuendelea kumfatafata sugu mbona na yeye ni mpuuzi kuwaa mavazi ya ovyo mbele za watu si bora kidole kuliko kutembea makalio wazi na kuvaa mpampaz faiza anatakiwa kutuliza mshono kama ukichaa yeye ni zaidi ya sugu.
 
ishu ni kuendelea kumfatafata sugu mbona na yeye ni mpuuzi kuwaa mavazi ya ovyo mbele za watu si bora kidole kuliko kutembea makalio wazi na kuvaa mpampaz faiza anatakiwa kutuliza mshono kama ukichaa yeye ni zaidi ya sugu.
Tatizo hapa ni eneo alilofanya KITENDO sio TENDO.
 
Huyu mwanamke ni hatari. Just when you think you will no longer hear from her, she comes up with another stunt.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom