Hata kibaka aliyekamatwa na kuku mahakamani anakataa. Ukitaka kujua ukweli karushe ndoano. Na akikupa usikataeHii ishu ya Dimpoz kutoa kisoda sitakaa nije niiamini mpaka pale atakapokiri mwenyewe
Hahahahaha 001 sidhani kama alimkosa lazima alimzibua.Kuna fununu zinaonesha alikuwa anamfadhili kiba. Chanzo kisicho na ushahidi kiliwahi kunidokeza kuwa either alitaka kumzibua mtaro ama alimzibua
Uyu mwenyewe kamvuwa kulikoniYa lini hiyo? Faiza kamvua nguo lini?
Wapi?
mkuu ivi ile kitu unafanyaje??
ku-comment kwa rangiIpi hiyo
ku-comment kwa rangi
Mullah wa Mombasa na rafki yake/msaidizi wa jaluo maarufu kuliko wajaluo wote KenyaSi yule mukenya nasikia....tena nasikia pia huyo mukenya anakula na yule bibie michupi aka mjane ( na kwamba nae kumbe anatoa mtandao.pendwa)
#Mambonimengimdamchanche#