Faiza Ally aicharukia shule anayosoma mwanae pamoja na Mheshimiwa 'Sugu'

Kwa maneno machafu hayo sishangai kama uliamua kuweka makalio yako wazi dunia ikayashuhudia kwani kipi utashindwa kuandikai. Wanawake wengine wapo kama timed bomb.....
 
Kwa Matusi yale....nafikiri aliye zaa nae mtoto wa pili akili kumkichwa anatamani huyo mtoto amrudishe kiunoni mwake.......
Au jamaa naye mwenye mtoto wa pili kakata mrija labda aliyezaa nae kakata mrija baada ya kuyumbishwa.....akategemea hela itoke kwa Sugu nae akakaza....maisha haya.
 
Kosea vyote lakini usikosee kuoa ivi uyu dada si alikua analilia lia Sugu alivyopewa haki ya kua na mtoto mahakamani..Sasa sugu kwa uugwana tu kaamua kumuachia mtoto sasa analialia nini apambane na hali yake tu
Sugu na ujanja wote pale ndio alipokwamia...
 
ewe mb*o yangu jizuie kud!nda dinda kla mda ucje niponza kwa mwanamke kma huyu
 
Tatizo huyu single mother bado anampenda sugu ila ndio hivyo sugu kasha move on hana time nae,kuna binti nimezaa nae basi hawatofautiani na huyu Faiza ipo siku kichaa kinampanda basi atatuma sms zaid ya 100 uzuri mm nazisoma then sijibu chochote ndio anapagawa kbs...
Mkuu kwa nini ulimwacha
 
suluhisho ni mheshimiwa kumchukua mtoto akae naye yeye....
sio kumuachia kichaa
 
Maisha yamekua magumu,sugu kawa sugu kweli amlipie mtoto ada mana hana kosa,aache ungese wa kijinga alipe ada mtoto niwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom