Au nae anaanza figisu za kunyakua jimbo la rais wa mbeya km yule tulia aksonKuna kitu nyuma ya pazia
Sugu na ujanja wote pale ndio alipokwamia...Kosea vyote lakini usikosee kuoa ivi uyu dada si alikua analilia lia Sugu alivyopewa haki ya kua na mtoto mahakamani..Sasa sugu kwa uugwana tu kaamua kumuachia mtoto sasa analialia nini apambane na hali yake tu
Mkuu kwa nini ulimwachaTatizo huyu single mother bado anampenda sugu ila ndio hivyo sugu kasha move on hana time nae,kuna binti nimezaa nae basi hawatofautiani na huyu Faiza ipo siku kichaa kinampanda basi atatuma sms zaid ya 100 uzuri mm nazisoma then sijibu chochote ndio anapagawa kbs...
Mapenzi upofu,mwenzio ndo alidata paleHivi huyu dada alimbaka Mh Sugu au? Mimi na ukapuku huu sijawahi kumtamani
Kwahiyo unamsema kimafumbo Muosha rungu aka DJ SepetuKabla hujaosha rungu muhimu kufikiria khs mimba.
Bora zinaa tutatibu tutapona kuliko mtoto ambae automatically anatuunganisha
Kuiga tembo nako ndio tatizo ...Hii akili matope,chekechea ada milioni mbili ?
Mkuu sababu ni nyingi saana,halafu haitakuwa ustaarabu kuweka madhaifu ya mwenzangu hapa japo hata mm nina mapungufu yangu lkn yake yalizid aiseeeMkuu kwa nini ulimwacha