Hapa sioni hata alichosema kibaya cha msingi Sugu alipe ada kama wanaume wengine wanavyofanya sisi sote tunalipia watoto ada kwanini sugu asijipange amlipie mwanae ada kila siku mwanamke analalamika mambo yale yale pesa ya chakula,malazi,kusuka kweli sugu hajitambui.