Faisal aliweza kulipa mil.110 za kuvunja mkataba, anakosaje mil.50?

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,798
Eti wadau mi sielewi sijui Faisal anatuchukuliaje wenzake. Km aliweza kulipa zaida ya mil 100 ili avunje mkataba wake sasa anakosaje mil.50? Hii taarifa ni changanya bwege.Wale wale waliompa ile mil.110 ndo hao hao wanaenda kumlipia CAS. Hii ya kuomba kuchangiwa ni kichaka cha kuonekana Watanzania tumemchangia ila mzigo wote tayari anao. Sisi tuliosoma Cuba tushaelewa.
 
Eti wadau mi sielewi sijui Faisal anatuchukuliaje wenzake. Km aliweza kulipa zaida ya mil 100 ili avunje mkataba wake sasa anakosaje mil.50? Huyu dogo akiendelea kutembea na akili ya Shangazi kufumba na kufumbua ataenda kuunga juhudi za uchumi wa bluu kwenye bahari ya hindi. Kutoka kwenye kula ugali na sukari hadi kwenye tuma ile hela kwenye hii namba.
Tim gani iko tayar kumsajili kwa sasa??
 
Kwa Sasa ata Feitoto akienda CAS mpaka shauri lake lipangiwe ma jaji, lianze kusikilizwa, wahusika waletewe ujumbe Ili Kwa maandishi, uwakilishi, au wahusika wafike kwenye usikilizwaji wa shauri,
Haitapungua miezi mitatu.

Najua hii ya kuchangiashana mitandaoni ni kutafuta huruma tu kwakua aliye nyuma ya hili ni mtu mwenye fedha ndugu Yusufu Bakresa.
Baada ya muda upo uwezekano mkubwa wa kumpatia iyo fedha.

Baada ya kusikilizwa ilo shauri Kuna muda wa kusubiri hukumu nao haupungui wiki mbili mpaka mwezi kwakua alisikilizwi swala la Feisal pekeyake, uwa yanafika mpaka mashauri kumi tofauti Kwa wakati mmoja.
Mpaka swala lake liishe itakua mwakani na itategemea uharaka wa kulipeleka CAS na kama ameshinda au ameshindwa.

Kama angekwenda Yanga upo uwezekano mkubwa swala lake lingeisha ndani ya wiki Moja.
Kupanga ni kuchagua, kiburi Cha Fei kinaletwa na Yusufu Bakresa.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom