Faisal aliweza kulipa mil.110 za kuvunja mkataba, anakosaje mil.50?

Huhitaji 50M kupeleka kesi CAS. CAS unalipa processing fees tu ambayo ni cheap otherwise CAS ingekua ya players wenye uwezo tu. Msuva katoka CAS juzi juzi wakati alikua hajalipwa miezi na alienda mwenyewe. Huyu feisal anataka achangiwe 50M ya nini?
Ya kula bata uko Dubai!
 
Back
Top Bottom