Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
Dogo ndo kwanza ana miaka 27 ila ndo mcheza mpira tajili kuliko wachezaji wote duniani. Faiq ambaye ni kiungo wa timu ya Leicester city utajili wake unazidi wa Cr7 mara 27 wakati anamzidi utajili Lion Messi kwa utajili mara 33.
Huyu ndiye Faiq Bolkiah mtoto wa Sultan wa Bruines Hassan Bolkiah.
Huyu ndiye Faiq Bolkiah mtoto wa Sultan wa Bruines Hassan Bolkiah.