Hapo ni Misungwi Mwanza, iwapo utapatikana unatumia choo hicho hapo juu bila kulipa utapata faini ya buku kumi hapo hapo pasipo kufikishwa Mahakamani....
Adha ya Wafagiaji wa barabara jijini Mwanza ni kama inavyojionyesha hapo juu. Imefika wakati wafagizi wa barabara katika Majiji yetu wakawa wanafagia barabara wakati wa alfajili wakati hakuna magari mengi njiani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.