M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Nimekuwa nikitafakari sana hii kesi ya bw. Reginald Mengi Vs Yusuph Manji.
Kwa mtazamo wangu naona ni dharau pamoja na kipotezea mahakama muda. Kuna kesi ngapi zilizorundikana mahakamani huku watu wakiteseka kusubiri haki itendeke? Lakini hawa mabwana kutokana na kiburi cha pesa wameamua kunyima haki wananchi wengine kwa kuendeleza kesi ya kipumbavu. Wenye kujua sheria mnasemaje?
Kwa mtazamo wangu naona ni dharau pamoja na kipotezea mahakama muda. Kuna kesi ngapi zilizorundikana mahakamani huku watu wakiteseka kusubiri haki itendeke? Lakini hawa mabwana kutokana na kiburi cha pesa wameamua kunyima haki wananchi wengine kwa kuendeleza kesi ya kipumbavu. Wenye kujua sheria mnasemaje?