desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,286
- 5,461
Sio uzembe ni ukataUzembe wao umewagharimu.
Sio uzembe ni ukataUzembe wao umewagharimu.
Na Simba Ni akili ya Mo tu sisi waswahili wote hatuchekaniHakuna timu yenye akili kubwa nchi hii kama Simba,hawa wengine wote itawachukua muda sana kufikia level ya Simba SC.Au sauti haijatosha nirudie?
Siyo hela nyingi watalipa kidogo kidogoZaidi ya m 45
Siyo hela nyingi watalipa kidogo kidogoZaidi ya m 45