Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,131
- 27,067
Ninavyofahamu mm kanuni mojawapo ya adhabu/faini lazima iwe inaumiza ili usirudie kosa..
Sasa hawa badala ya kupandisha faini wao wanashusha, sijajua lengo ni kuzuia makosa au kukusanya pesa.
Faini inapaswa kuwa kubwa maradufu ili watu waogope kufanya makosa tena muda mwingine kwa makusudi kabisa.
Sasa hawa badala ya kupandisha faini wao wanashusha, sijajua lengo ni kuzuia makosa au kukusanya pesa.
Faini inapaswa kuwa kubwa maradufu ili watu waogope kufanya makosa tena muda mwingine kwa makusudi kabisa.