Failure of Ukawa Resistance???!!.!!?!

kapesly

Senior Member
Jan 1, 2017
163
108
Duuh Mimi nimeona bora tuhame Tongwez....
Màaana Leo nimeota vibaya
Had sasa natafuta wanajimu wa kutafsili ndoto yangu......but hollaaaah
Nimeota '''nipo kwa exam room na swet vibaya sana tena nilivyogeuka nyuma naona wazungu wamekaa wametulia na booklet zao pembeni hivyo hivyo.....Mara gafla akaingia MTU wa makamo na askali wa asili ya kikolea kaskzn....
Nakutupa maelekezo ya mtihani,huku yule askal akisisitiza kuwa atakayeonekana anapiga chabo atafanyiwa wot IDD amin does to their pinzani,
Pale pale yule MTU aliyeonekana kama msimamiz mfanano kama mhind alifungua bosk alikuja nao na kutoa vioo kama arobain hv na kutugawia wote, na kusema you can start
Mimi nkawasha kle kioo ambacho kilkuwa chembamba unene kama kanga,na kusomeka HIV
"" MINISTRY OF EDUCATION...........
.....................
.,
NATIONAL EXAMINATION......................OF TONGWE(NECTO)

HISTORY EXAM.........
3027/MARCH/16
Section A...
Yakatokea maswali mengi ila nilipofika hapa nilisikia watu wakinong'ona "wot zis" ilikuwa ni abht QN no 7 ambalo lilisomeka
7)Examine six(6) factor for failure of UKAWA resistance at 2017 in TONGWE Nation??? Duuh palepale nikastuka kujakukuta eti
Nilikuwa naandika hii thread kwenye JF. Na si ndoto
Na kama unazijua hebu zitaje maana Mimi nafaham moja ya kuwa ni tabia ya rais wa tongwe mh.Job R-OH Magugulifu kuwa na tabia ya kujipinga mwenyewe...? Do sasa haina haja tena na kuwa na UKAWA....

List za kwako plz
 
Back
Top Bottom