Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,101
- 34,050
Hahahaha.....! Miaka mitatu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakunukuu , umesema umefanya research ila iwe kweli au si kweli huoni tatizo, hapa tayari kuna wasiwasi katika majibu yako
1. Hujasema katika research yako umepata majibu gani
2. Kusema huoni tatizo ina maana hujui kama ni kweli au si kweli na hata kama ni kweli basi huoni tatizo,,,
Kuna mahala pia umesema kuna mtu alioa mtoto wa miaka 3,, kwa nukuu hizi naomba nijibu swali langu ulilo quote kwa hii reply
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app