Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 994
Hakuna unyanyapaa bali ndio utaratibu wa ibada usiromokweKwa nini waislamu mkaamua kuwanyanyapaa wanawake wenye hedhi? Kwani wao kosa lao ni nini haswa mpaka wasiruhusiwe kufanya sawa ya jumla kama watu wengine?. Na pia mbona mkisali mnawaweka nyuma?? Au ndio hivyo tena mnaogopa kuu face mzigo