telecom kubwa kidogo umebobea zaidi upande gani?Naam, nimeifanyia kazi na nnaifanyia kazi.
Kazi nilizofanya kwa muda mrefu sana zilihusiana na telemetry systems na intrinsically safety systems (telecoms and non telecoms). Sasa hivi najihusisha sana na RFID integration kama mshauri (Consultant).telecom kubwa kidogo umebobea zaidi upande gani?
ingawa umeshanichanganya, ila unaonaje Tanzania ya viwanda chini ya magufuli kwa upande wa Telecom? unaona kama kuna dalili yoyote?Kazi nilizofanya kwa muda mrefu sana zilihusiana na telemetry systems na intrinsically safety systems (telecoms and non telecoms). Sasa hivi najihusisha sana na RFID integration kama mshauri (Consultant).
Of course mambo yote niliyokutajia yanahusika na yanahitajika viwanda vya aina zote kwa ufanisi wa hali ya juu. Na pia mengi yanahitajika katika "industries" zote, healthcare, hospitality, manufacturing, mining, oil and gas, farming. You name it, telecoms ina vast, very important never ending role to play. Must have.ingawa umeshanichanganya, ila unaonaje Tanzania ya viwanda chini ya magufuli kwa upande wa Telecom? unaona kama kuna dalili yoyote?
umenichanganya maana mm hizo mambo za kitelecom siyajui sana, ila najua ni muhimu sana.Of course mambo yote niliyokutajia yanahusika na yanahitajika viwanda vya aina zote kwa ufanisi wa hali ya juu. Na pia mengi yanahitajika katika "industries" zote, healthcare, hospitality, manufacturing, mining, oil and gas, farming. You name it, telecoms ina vast, very important never ending role to play. Must have.
Nimekuchanganya kwa lipi?
At least leo nimefurahi katokea mtu kuniuliza maswali ya field yangu.
Mbona tupo tayari, itufikishe vipi tena?umenichanganya maana mm hizo mambo za kitelecom siyajui sana, ila najua ni muhimu sana.
Unahisi CCM hii hii itaweza kutufikisha kwenye digitilized and electronized Tanzania?
Sema nilipokuchanganya kuhusu mambo ya "telecom" ntajaribu kupaelezea hata Zero, ZIRO, BONGOLALA na Msomi hewa waelewe.umenichanganya maana mm hizo mambo za kitelecom siyajui sana, ila najua ni muhimu sana.
Unahisi CCM hii hii itaweza kutufikisha kwenye digitilized and electronized Tanzania?
Jee ni kweli mkonga wa taifa umepunguza gharama za mawasiliano????Kwa upande wangu naona zimeongezeka kila kukicha makampuni yanazidi kubana MBMbona tupo tayari, itufikishe vipi tena?
Imetufikisha kwenye digital world miaka mingi sana iliyopita tena kwa kasi kubwa sana kupita nchi nyingi sana duniani.
Ilipotangazwa tu kuwa hakuna ushuru kwenye "computers", hapo ndiyo siku tuliyofikishwa. Na tulipotandaziwa Tanzania nzima mtandao wa FO (mkonga) ndipo tulipofikishwa kileleni.
Sasa hivi ni ubunifu wetu tu.
Unaelewa kuwa Tanzania tuna mpaka super computer ambayo si wengi wanaitumia?
Nnauhakika mkonga wa FO tulionao hatuutumii hata asilimia 10 ya uwezo wake na super computer nadhani hatuitumii hata asilimia tano ya uwezo wake.
Sijui watufikishe wapi zaidi ya hapo?
Kilichobaki ni ubunifu wetu tu lakini ukweli ni kuwa serikali ya CCM Imetufikisha tena kwa ufanisi mkubwa kwenye digital world.
mnakimbia shule then mnasingizia mfumo#stupidSi wao, hao ni "victims" wa mfumo wetu wa elimu tuliourithi na tunaouendeleza.
Umetumwa nini wewe bibi...Sema nilipokuchanganya kuhusu mambo ya "telecom" ntajaribu kupaelezea hata Zero, ZIRO, BONGOLALA na Msomi hewa waelewe.
Stupid question everHivi mwanamke hupewa mimba kwa goli ngapi ?