Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

Ngoja niwasiliane na ndugu zangu wa kibiti wanipe shamba nilime shamba la vitunguu hiyo ni fursa hela ziko nje nje nadhani hayo maeneo yako jirani sana na wanaume wa dasalamu!!!
 
kama vinakaa sana mdomoni ondoa viti ili visimame. ( huu ni utani tu lakini)
Mbona nafahamu Kiongozi.

Mimi mwenyewe napenda sana Utani. Na naufarahia sana Utani. Utani ni sehemu ya Maisha. Sio unakuwa Mtu wa kukunja kunja tu. Tena Mijitu mingine kila wakati inakunja.

Utani, mara kucheza kidogo, ndivyo inavyotakiwa. Sio Mtu unakunja, halafu unakaa kizembe zembe hufunui hata Kinywa.

Na matokeo yake Mdomo Unanuka. Mtu hana utani hata na Mpenzi wake! Ndio maisha gani hayo? Raha ya Mapenzi ni pamoja na Utani. Unaleta Utani kwa Mlimbwende anacheka, mpaka Machozi yanamtoka. Anabaki, "HARUFU wewe mambo yako"

Unaendelea kumtania anacheka, anaendelea kucheka. Kuna wakati utani unakolea mpaka mnajistukia wote wawili mmebaki kama mlivyozaliwa.

Hamjakaa sawa, mara mnakula Raha za Dunia bila kupanga, kutegemea, kujiandaa. Sasa Jitu la kukunja unafikiri Chezo la ghafla kama hilo atalipata wapi? Ndio maana Mijitu mingine inanyimwagwa Unyumba.

Sawa sawa tu, bora wanavyonyimwa Unyumba
 
Back
Top Bottom