Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,925
Nimecheka sanaNa kweli. Maana maneno yamekuwa meng mno. Mara mayai ya kwale, mara mlonge. Yaani shida tupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ni ngoma ya Justine Kalikawe R.I.P.....panapofuka moshi ujue kuna moto chini...
Nimeikumbuka hii ngoma ni ya nani vilee Ni Innocent?
kama vinakaa sana mdomoni ondoa viti ili visimame. ( huu ni utani tu lakini)Tatizo la Vitunguu vinakaa sana Mdomoni
Ngoja nianze hiyo tiba leo, ila si kwa sababu ya dushe, ni kwa ajili ya viinilishe vingine.
Mbona nafahamu Kiongozi.kama vinakaa sana mdomoni ondoa viti ili visimame. ( huu ni utani tu lakini)
Tatizo la kuabudu sex hili... Ndio side effects zake na still huyo mwanamke atatoka nje tu akikuzoea!!!WANAUME WA DAR WATALISHWA MPAKA MAVI ILI KUONGEZA NGUVU