Abby The Rider
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 444
- 674
Haya ndugu Salama,
Mnasemaga punyeto sio nzuri kabisa Mara inaharibu nguv za kiume, na mengne mengi ya namna hiyo
Sasa msomeni doctor hapo mpate faida za punyeto
(Hii kwa wale wa free basics. )
Punyeto inaweza kumsaidia mtu kuondoa mkazo (stress), kuboresha hali (mood), kumsaidia mtu kupata usingizi, huongeza umakini (concentration) na ufanisi katika tendo la ndoa n.k! #ElimikaWikiendi
Mnasemaga punyeto sio nzuri kabisa Mara inaharibu nguv za kiume, na mengne mengi ya namna hiyo
Sasa msomeni doctor hapo mpate faida za punyeto
(Hii kwa wale wa free basics. )
Punyeto inaweza kumsaidia mtu kuondoa mkazo (stress), kuboresha hali (mood), kumsaidia mtu kupata usingizi, huongeza umakini (concentration) na ufanisi katika tendo la ndoa n.k! #ElimikaWikiendi