Faida za Parachichi katika mwili wa Binadamu

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,278
6,671
1614141310448.png


Habarini wanajukwaa, kwa wale wenzangu ambao kidogo mmegusa Biology Huwa nikila parachichi hususani ninaposhushia na ubwabwa, nahisi hali ya msisimko wa mwili kuongezeka.

Nimefanyia majaribio kama mara tatu hivi Nimegundua nikila parachichi na wali kwa pamoja msisimko unakuwa mkubwa ajabu.

Naomba Darasa lenu parachichi linaongeza nguvu za kiume?


View attachment 243278

FAIDA YA TUNDA LA PARACHICHI - PEA (AVOCADO)
Ndani ya tunda hili kuna maji kiasi kidogo sana ukilinganisha na matunda mengine lakini kuna mafuta mengi na unaweza kuchanganya kula na tunda lingine kama vile apple, ndizi, chungwa au hata maziwa kwa kutengeneza juisi.

TINDIKALI
Licha ya kuwa na mafuta parachichi lina tindikali (acid) mbalimbali ikiwemo inayojulikana kama amino ambayo husaidia sana kukinga na kutibu maradhi katika mwili wa binadamu. Tunda hili pia lina protini ya kiwango cha juu.

Pia kuna tindikali inayoitwa oleic acid kwenye parachichi ambayo husaidia kukinga magonjwa ya moyo, kiharusi na kansa.

VITAMINI "E" NA B6
Imeelezwa na wataalamu kuwa tunda hili lina kiwango kikubwa cha vitamini E kuliko ile inayopatikana kutoka kwenye mazao ya wanyama.Parachichi lina vitamini hiyo nyingi kuliko inayopatikana katika mayai ambayo yanasifika kwa kuwa na vitamini e, hivyo hii inathibitisha kuwa lina faida kubwa mwilini.

Licha ya vitamini E pia ndani ya parachichi kuna vitamini B6 na kuna madini ya chuma (Iron) kwa wingi na madini ya potassium, pamoja na vitamin B6 na E mlaji anaweza kuletawa nafuu sana kama alikuwa na matatizo ya stress, matatizo ya uzazi kama ugumba na jogoo kutopanda mtungi Nguvu za kiume pia tunda hili linasaidia (impotence) .

FAIDA ZA PARACHICHI
Licha ya binadamu kufaidika na virutubisho vya tunda hili kuna faida nyingi za parachichi kama vile majani ya mti wake pamoja na magamba, baadhi ya watu hutumia kutibu maradhi ya kuharisha.

Majani na magamba hayo hutibu pia tatizo la gesi tumboni, kutuliza kikohozi pamoja na matatizo ya ini na kusafisha njia ya mkojo.

Hata hivyo, kwa mujibu wa wataalamu wa dawa za mitishamba, dawa hii haifai kutumiwa na wanawake ambao wana mimba kwani wakitumia inaweza kusababisha kuharibika kwa ujauzito.

HEDHI
Hata hivyo, wataalamu wa tiba mbadala wanasema dawa hiyo inaweza kuwasaidia sana wanawake ambao wameshindwa kuona siku zao kwa wakati, na wakitumia vyema wanaweza kuanza kuona siku zao.

Aidha, tunda hili linasaidia uyeyushaji wa chakula tumboni hasa kwa wale wenye matatizo ya vidonda vya tumbo, kwani parachichi lina nyuzinyuzi "fiber" ambayo ni muhimu kukinga kuta za utumbo. Watu wenye maradhi ya anaemia, diabetes, matatizo ya mfumo wa neva, matatizo ya mishipa ya moyo hasa wa artery wanashauriwa kula tunda hili mara nyingi.

Lakini pia tunda hili limethibitishwa na wataalamu kuwa linapunguza kwa kiwango kikubwa cholesterol kutoka kwenye damu hasa kwa watu wanene.

Tunda hili husaidia kulainisha ngozi na kuondoa mikunjo, hung`arisha na kulainisha nywele na kuzisaidia kukua pia kuziimarisha na kuzuia kukatikakatika.

Parachichi unaweza kulila kwa kulimenya au kwa kulisaga na kutengeneza juisi na kama nilivyoeleza hapo juu unaweza kuchanganya na matunda mengine kama tulivyoyataja na hutaharibu virutubisho vilivyomo badala yake utaongeza ubora wa juisi yako.

Watoto wadogo pia unaweza kuwapa tunda hili na wakafaidika na haya tuliyoyaandika.
Parachichi pia huweza kutumika kama siagi kwa kupaka kwenye mkate au kuchanganya na wali.

Haya wale wanaopenda ngozi zao za mwilini zisijikunje hata wakiwa watu wazima wadumu kula tunda hili kila siku katika maisha yao basi ngozi za mwili wao hazitajikunja hata usoni watakuwa kila siku vijana hata wakiwa wazee.


MSIMU wa matunda ya Parachichi umeshaingia. Kama yalivyo matunda yote kwa ujumla kuwa yana faida sana katika mwili wa binadamu, vivyo hivyo na Parachichi. Tunda hili lina maajabu makubwa katika kupambana na maradhi hatari ya moyo na sataratani ya matiti kutokana na virutubisho ilivyonavyo.

Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi juu ya tunda hili, awali ya yote tunda hili lina kirutubisho
aina ya Aloic Acid ambayo ni aina fulani ya mafuta mazuri yanayosaidia kushusha kolestrol mwilini. Katika utafiti mmoja waliofanyiwa watu kadhaa waliokuwa na matatizo ya kolestro mwilini, baada ya

kutumia maparachichi kwa muda wa siku saba, walionesha mabadiliko mazuri katika afya zao kwa kupungua kiwango cha kolestro mbaya mwilini.
Aidha, parachichi lina kiwango kikubwa sana cha madini aina ya potasium ambayo ni muhimu sana katika kuimarisha mzunguruko wa damu mwilini.

Inaelezwa kwamba ulaji wa kiwango kikubwa cha madini ya potasiamu, hutoa kinga madhubuti dhidi ya magonjwa yatokanayo na mzunguruko mbaya wa damu mwilini, kama vile ugonjwa wa moyo, shinikizo la damu na kiharusi.

Mbali ya madini hayo, parachichi lina virutubisho vingine kama vile
Folate (Folic acid) ambacho ni muhimu sana kwa afya na ustawi wa moyo, kwa maana hiyo watu ambao wanakula sana vyakula kama parachichi lenye kirutubisho hicho, watukuwa salama dhidi ya magonjwa ya moyo au kiharusi kwa asilini 55.

Kirutubisho kingine kinachopatikana kwa wingi kwenye parachichi ni
Fatty Acids, ikiwemo Oleic Acid. Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni, imedhihirika kwamba virutubisho hivyo ni kinga tosha dhidi ya Saratani ya matiti. Kwa maana nyingine, wanawake wanaokula kwa wingi

Maparachichi, wanaipa miili yao kinga dhidi yaSaratani hiyo ambayo hivi sasa imekuwa tishio miongoni mwa wanawake nchini.
Parachichi linaweza kuliwa kama mtu atakavyopenda, wapo watu wanaopenda kula bila kuchanganya na kitu kingine, lakini pia parachichi linaweza kuliwa kwa kupaka kwenye mkate badala ya Blue Band. Halikadhalika parachichi linaweza kuliwa kwa kuchanganya na nyanya, vitunguu, ndimu na chumvi kidogo kama kachumbari ya kipekee.


VIRUTUBISHO VYA PARACHICHI

Kwa ujumla, parachichi ni chanzo kizuri cha Vitamini K, Vitamini B6 na Vitamini C.
Aidha, tunda hili lina kiwango kizuri cha virutubisho aina ya Folate, kopa na ufumwele (Fiber). Fiber ni muhimu katika kuwezesha mtu kupata choo

laini na bila matatizo. Bila kusahau kwamba tunda hili ni chanzo kizuri pia cha madini ya Potasiamu: ina kiwango kikubwa kuliko hata ndizi.
Ingawa parachichi ni tunda, lakini lina kiwango kikubwa cha mafuta
(fats) ambayo yanakadiriwa kuwa kati ya asilimia 71 – 88, kiwango ambacho ni cha juu kwa asilimia 20 ukilinganisha na matunda mengine. Kwa wastani, parachichi moja lina gramu 30 za mafuta, lakini kati ya hizo, gramu 20 ni za

mafuta mazuri kiafya
(Monounsaturated fats na Aloic Acid) ambayo husaidia kujenga afya bora mwilini.
Utafiti zaidi kuhusu tunda hili unamalizia kwa kusema kwamba parachichi lina takribani aina 20 za Vitamin, madini na virutubisho muhimu


(Phytonutriens) ambavyo hutuo kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mengi hatari. Baadhi ya Vitamini zilizomo na asilimia zake kwenye mabano ni pamoja na Vitamin E (4%), Vitamin C (4%), Folate (6%), Fiber (4%), Iron (2%) na Potasium (4%).

Kwa ujumla tunda la Parachichi lina faida nyingi kiafya na tunatakiwa tuyale kwa wingi, hasa ukizingatia huu ndiyo msimu wake. ni jambo la kushangaza sana kuona kwamba watu wengine msimu wa maparachichi unaingia hadi unakwisha, mtu hajala hata moja.

''KUMBUKA KINGA NI BORA KULIKO TIBA''! (Prevention is Better Than Cure)
Health Benefits of Avocado

Avocado fruits are getting very popular anywhere in the world. Throughout the year, you can find avocado in your nearby supermarkets. Avocado is sometimes called "avocado pear" or "alligator pear", and "Aguacate Palta" in Spanish.

The world, especially in developing countries, is trying to adapt avocado as one of substitutes to cope for the shortage of nutritious food production.



avocado.jpg
avocado2.jpg



We believe that avocados have originated in Mexico and Central America. However, today, avocados are being planted and harvested in countries such as Indonesia, Philippines, Thailand, Vietnam, USA, Sri Lanka, Brazil, India, China, Japan, Peru, Uruguay, Argentina, Bolivia, Chile, Ethiopia, Spain, Palestine, South Africa, Australia, New Zealand, Malaysia, and Hawaii. Oh, yes, you can plant it even in your backyard garden and it is adaptable as long as the climate does not go below 5°C during winter season.

In fact, I myself planted four avocado trees 25 years ago, and just a year ago, I added another two in my backyard. One tree bears about 200 pieces of fruit.

Avocado is one of the most recommended fruits as well as a food for bodybuilding and medicine for cholesterol-related heart diseases.

Also, did you know that avocado or an avocado extract is good for prevention or treatment of "breast cancer" as well as "prostate cancer"? Some information states that a toxin found in avocado can kill cancer cell. However, the toxin mentioned here is not identified completely. Scientists believe that the toxin has a great effect on the myocardium (heart muscle tissue) as well as on tissues of the lactating mammary gland.

Although many farmers believe that fresh and dried leaves, bark, skin, and seeds are toxic to cattle, goats, horses, rabbits, and birds, there is no definite scientific explanation for that.

Do not worry about the fruit meat of avocado. There are no dangerous toxic elements for human consumption as well as for animals.

Creamy rich avocado is considered the world's healthiest fruit, because of its nutrient contents such as vitamin K, dietary fiber, potassium, folic acid, vitamin B6, vitamin C, copper, and reasonable calories in it.

Avocados contain "oleic acid", a monounsaturated fat that may help lower cholesterol.

In our studies, patients with high cholesterol levels who ate avocados showed clear health improvements. After a week of avocado diet, patients had significant decrease in cholesterol contents.

Avocado is a good source of potassium, a mineral that helps regulate blood pressure. Adequate intake of potassium can help guard against circulatory diseases, like high blood pressure, heart disease, or stroke.

Diets containing foods that are good sources of potassium and low in sodium may reduce the risk of high blood pressure and stroke. One cup of avocado has about 23% of the Daily Value for folate, a nutrient important for heart health.

Another study showed that individuals who consume folate-rich diets have a much lower risk of cardiovascular disease or stroke than those who do not consume much of this vital nutrient.

Not only avocado has a rich source of monounsaturated fatty acids including oleic acid, which has recently been shown to offer significant protection against breast cancer, but it is also a very concentrated dietary source of the "carotenoid lutein". It also contains measurable amounts of related carotenoids plus significant quantities of vitamin E.

A few slices of avocado in salad, or mixing some chopped avocado into salsa will not only add a rich, creamy flavor, but will greatly increase your body's ability to absorb the health-promoting carotenoids that vegetables provide.

Compared to other fruits or vegetables such as carrots and spinach, just a slice of avocado improves your body's ability to absorb carotenoids.
At first, you can try to start planting a seed in your room. You will love it as seen in the photos below.



avocado3.jpg
avocado4.jpg


After eating avocado, don't throw the seed. Place it in the garden soil in your container garden. The soil should always be with water. In about three weeks, you will enjoy seeing leaf buds growing. If you cannot keep it in your room, plant it in your backyard. You will enjoy seeing it growing again.
Ways to Eat an Avocado

There are hundreds of ways or recipes for avocado. Here are some that you can try to enjoy eating avocado.


avocado5.jpg

Chopped avocado with tofu, tomato, and mayonnaise dressing
avocado6.jpg

Avocado juice mixed with honey or sugar and milk
Cool it. It is so tasty. Good for all ages.
avocado7.jpg

Avocado and tuna fish salad with lemon
avocado8.jpg

Avocado and salmon salad with mayonnaise
avocado9.jpg

Avocado with chicken and tomato
avocado10.jpg

Avocado, chicken, and fried garlic


The simplest way is just slice the avocado and place ham and mayonnaise to make a bread sandwich. Probably, you can add a proverb, "One avocado a day, doctors away".

To preserve, mash and place the avocado in the freezer. In this way, you can keep it for several months. Do not keep the avocado fruit as is in the freezer.

Again and again, some critics might write us complaining about the article saying that avocado is toxic. Avocado toxicity is not scientifically well established up to now.

Avocado poisoning has been a source of controversy and confusion among animal breeders. Some breeders have voiced an opinion that avocado fruit may be toxic, while other breeders have fed avocados to their animals with no abnormal incidences at all.

Most avocados grown in the United States and other countries are sold for human consumption in the form of fresh fruit or processed paste products. Also, many parts of it are used for various products including animal feeds and baby consumption.

Avocado poisonings in humans and animals are fairly limited, however, the avocado tree can be toxic. They say that toxic chemical is found in leaves, bark, pits, and skin of the avocado tree. Although some people claim that avocado fruit can cause skin allergy, it is just the same as banana, walnut, and kiwi allergy.

Anyway, if you are a delicate person, just don't eat avocado. Once again, one avocado a day may save your life from cardiomyopathy and heart failure.
In addition, if you're suffering from a serious illness, we recommend you to use the PYRO-ENERGEN. PYRO-ENERGEN is proven effective in eradicating viral diseases, cancer, and diseases of unknown cause.
 
Ndio, inaongeza nguvu. Wali pia by the way, hasa kama unapika uji wa mchele. Sasa wewe ulipiga combo lunch pack so...
 
duh.....bado makande tu sasa...lo

mara matikiti,mara asali,mara matango,sasa parachichi..lol

mkirudi mtakuja na mapera lol
 
Unajua kuna watu wana aleji ya vitu fulani mimi nikila nyama ya ng'ombe mimi embe, mimi tango..... Ili mradi wsatu hawa hudhurika kwa vitu ambavyo
ni vya kawaida katika jamii, Hata kwa hili wakati mewingine huwa nahisi kuna watu wananufaika zaidi na vyakula fulani kuliko wengine kwa hiyo nafikiri ni bora ukianza kufanya utafiti wa vyakula gani vina manufaa mwilini mwako!
 
hivi msisimko ndio nguvu za kiume.

sasa ukishapata huo msisimko hizo nguvu za kiume unazipimaje kwa kupiga punka u???
Wakati mwingine tuwe tunaelewa mapema kuna lugha zinakuwa ngumu
kutumia kwa hiyo unaweza kuelewa tu. Kwa kifupi kila stimulation husababishwa
na msisimko lakini si kila msisimko husababisha stimulation . Huo ni mtazamo wangu tu!!
 
Kuna wanaosema usichanganye dini na siasa sijui nitakosea nikisema
usichanganye dini na sayansi? Au hilo pepo linapatikana kwenye parachichi
au mchele?

hapo hakuna sayansi yoyote ni mambo ya kiroho.dalili mojawapo ya hili pepo ni hiyo uliyotaja.karibu..
 
hapo hakuna sayansi yoyote ni mambo ya kiroho.dalili mojawapo ya hili pepo ni hiyo uliyotaja.karibu..

Hivi ilivyoandikwa Mithali 5:18 (Chemchem yako ibarikiwe nawe umfurahie mke wa ujana wako) hili nalo ni pepo la ngono?
Kweli Mhe. Dr. Mama Getrude Rwekatare anatakiwa afundishe waumini wake kwa kina zaidi.
 
Sure!parachichi inamwongezea sana mtu hamu la tendo la ndoa!kula parachi ili ndoa yako iwe salama
 
Mpendwa, hivi wewe unajua unachoamini? Au unaamini unachojua?
Kama swali alilouliza huyu ndugu ni pepo la ngono, basi kufanya tendo la ndoa na mkeo/mumeo wa ndoa ni pepo la ngono pia.

mwache aje apate maombezi,sisi waliokoka tuna mengi ya ziada mpendwa.hakika bwana anaweza,na anaweza kufanya makubwa juu ya huyu mwenye hili tatizo.mtumishi na wewe karibu hakika hutarudi kama ulivyokuja...pili usitetee ngono kwa kutumia vitabu vya mungu.
 
mbona parachichi na wali nayalaga mara nyingi na sijawahi huo msisimko?huo utafiti huoo...
Labda uongeze na karanga mbichi ikishindikana tia Pweza juu
zaidi ya hapo onana na Wamasai kwa ushauri zaidi.
 
Back
Top Bottom