Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
basi nimeimpruvu.....mi naruka zaidi ya 100 na bado najisikia bado........itabidi nitafute na zoezi jingine mbadala ili nikamilishe kiu yangu.
Ruka 400
basi nimeimpruvu.....mi naruka zaidi ya 100 na bado najisikia bado........itabidi nitafute na zoezi jingine mbadala ili nikamilishe kiu yangu.
Usiogope.......ni kunata na fasheni tu.......
Dah.....mkuu hii post ina miaka 2 sasa.......na tushapungua wengine tuna kg 55 sasa.......juhudi zako tu.......
Nasikitika kila nikiongeza mazoezi, naongeza pia chakula, weight inazidi
Mi naruka mia tatu kila siku lakini sipungui..nataka nipungue kilo kumi kwa sasa nina 85
Nilikuwa naruka kamba miaka hiyo ya 2000,kwasasa magoti hayaruhusu tena.Naufufua huu uzi.
Waruka kamba njoeni hapa tupeane tips na faida ya huu mchezo
Pole sana legend, pendelea pia kutembea na jumping angalau nusu saa.Nilikuwa naruka kamba miaka hiyo ya 2000,kwasasa magoti hayaruhusu tena.
Nilishauriwa nifanye mazoezi kwa kuogelea.
Kuna mazoezi gani mengine mazuri wakati wa maumivu ya magoti?
Jumping haitakiwi kabisa kama kuna shida ya magoti.Pole sana legend, pendelea pia kutembea na jumping angalau nusu saa.