Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,781
- 8,616
Dont forget that izo mada ukuandika ww umekop tu somewhere so uzidhan ukifut ndo dunia imeiasha labda kwa hayo wapumbavu unao wajua sio wote
"KWA MAAANA NAFUNDISHA WAJINGA ASILIMIA KUBWA "Kwa unafiki unaondelea humu mada nyingi nitaanza kuziremove kwa maana nafundisha wajinga asilimia kubwa wacha nianze na hii,
Rakims
Mkuu, mbona una ligi sana na mimi umeanza kunifuata fuata p.m nimekukalia kimya ili upite kushoto bado tu halafu unaongea upumbavu siuelewi embu nenda jukwaa la chitchat linakufaa sana maana huko ndipo kuna watu wanaweza kupiga zogo muda mrefu, huku tunasoma kidogo na kujua sana, kila mtu anajukwaa lake sasa usilazimishe kwenye mboga kuweka sukari, utatukanwa, hivi una umri gani kwanza?Dont forget that izo mada ukuandika ww umekop tu somewhere so uzidhan ukifut ndo dunia imeiasha labda kwa hayo wapumbavu unao wajua sio wote
Grow up son
Kuna nyakati kichaa akitizama watu wamevaa yeye yupo uchi huwa anawaona wajinga wamebeba mizigo, pia kuna nyakati kuna watu wazima na akili timamu wanaongea vitu halafu hawajui ni kitu gani wanaongea wakikumbushwa wanasema nani? mimi? Nini? Wapi? Aje?Wengine wankuita mganga wa kienyeji ma shirik sijui nn dont you see hawo ndo wajinga mm sijakitukan awa kuku dharau my only point ni mada iendelele kama kuna limitation unasema ili wote tujue aina muendelezo
PoaKuna nyakati kichaa akitizama watu wamevaa yeye yupo uchi huwa anawaona wajinga wamebeba mizigo, pia kuna nyakati kuna watu wazima na akili timamu wanaongea vitu halafu hawajui ni kitu gani wanaongea wakikumbushwa wanasema nani? mimi? Nini? Wapi? Aje?
Kama hili jukwaa linakufaa wewe na wao pia basi utajua nazungumzia nini na utafanya nini, lakini kama haliwafai ngoja tuwasome tena
Rakims
Kwa unafiki unaondelea humu mada nyingi nitaanza kuziremove kwa maana nafundisha wajinga asilimia kubwa wacha nianze na hii,
Rakims
Anataka afuatwe PMHivi vitu ni siri au.???? hatupaswi kuvijua AU ndio zile attitude za kibongo unataka ujue wewe tu AU Mkuu unapiga pesa kwenye hili...
Enways, nimeuliza tu
Ndio lengo lake hana jipya
Humu wapo wengi wameshanifuata PM lakini majibu ni hapana haya hayafundishwi kwa watu wasio na dini wala huruma na pia wasiojulikana kama wewe kama kuna mtu kanifuata P.M nikamwambia haya majina nauza uliza akija hakuna atakae tokea kwa maana member wote walionifuata p.m nawaambia hii sio biashara ni elimu kama elimu zingine, wacheni kujudge msioyajuaNdio lengo lake hana jipya
Tupe elimu hiyo sasaHumu wapo wengi wameshanifuata PM lakini majibu ni hapana haya hayafundishwi kwa watu wasio na dini wala huruma na pia wasiojulikana kama wewe kama kuna mtu kanifuata P.M nikamwambia haya majina nauza uliza akija hakuna atakae tokea kwa maana member wote walionifuata p.m nawaambia hii sio biashara ni elimu kama elimu zingine, wacheni kujudge msioyajua
Rakims