Faida za kuwa na facebook page yenye kutoa maudhuhi ya habari

Mangole Valles Michael

JF-Expert Member
May 30, 2021
333
671
Habari za leo Wana jamvi, natumai ninyi wazima.

Kumekua na ongezeko la Facebook page zinazo toa maudhuhi ya Habari hasa habari za michezo,siasa, matukio na burudani.

Mimi binafsi mpaka Sasa sjabahatika kufahamu faida inayo patikana kutokana na page hizi mpaka kuvutia watu kushawishika kwa wingi kufungua page za Aina hizo.

Hivyo nimeona ni jambo jema kuja kwenu kuuliza Kama Kuna mtu anajua faida ya page hizi atujuze tafadhari tusije kua tunakosa fursa.

Nini faida ya kua na page inayo toa maudhuhi ya Habari, kitu gani ambacho wamiliki wa page hizo hunufaika kutokana na page hizo?
 
Kwa uelewa wangu mdogo, Facebook hawakulipi kutokana na ww kua na page fb sana sana ww ndo utalazmika kuwalipa ili page yako ipate kuonekana na fb users wengi labda njia ambayo unaweza ukatengeneza pesa ni wewe kupokea matangazo ya watu wanaotaka utangaze kwny page yao na hapo ni mpaka hiyo page iwe na likes nyingi sana kias cha kumshawishi anaetaka kutangaza nawe afanye hivyo kimsingi sidhani km kuna fursa hapo. Labda wengine watujuze!.
 
Amna kitu wanachonufaika zaidi ya KUWATAPELI WATU uko fesibuku kuna account nyng za fake za watu wanaojifanya maselebriti mzee...mfano kuna account fake ya Juksi jamaa anapost picha za juksi na kujifanya yye ndio juma Juksa na mbaya zaidi account nyng fake za mastaa uko FB zko verified na bluetick kabisaaa

Sasa jamaa anajifanya yye ndo Juma Juksi akafungua grp la wasap akaweka link watu wakajaa akawaambia anauza nguo (africanboy Brand) free deliver watu wakajaa wakatuma pesa ukituma pesa anakublock na huna pakuripoti So kuwa makini sana waendesha page za FB ni vibaka bora wambea wa insta wanapata pesa kwa matangazo
 
Habari za leo Wana jamvi, natumai ninyi wazima .
Kumekua na ongezeko la Facebook page zinazo toa maudhuhi ya Habari hasa habari za michezo,siasa, matukio na burudani.
Mimi binafsi mpaka Sasa sjabahatika kufahamu faida inayo patikana kutokana na page hizi mpaka kuvutia watu kushawishika kwa wingi kufungua page za Aina hizo.

Hivyo nimeona ni jambo jema kuja kwenu kuuliza Kama Kuna mtu anajua faida ya page hizi atujuze tafadhari tusije kua tunakosa fursa.

Nini faida ya kua na page inayo toa maudhuhi ya Habari, kitu gani ambacho wamiliki wa page hizo hunufaika kutokana na page hizo?
 
Dah! Hii ulosema ni kweli asee Kuna page moja ya queen darling asee ile page ni fake lakin ina verified tik, na ninaona anaitumia kwa BIASHARA Sana Sana sjajua Kama Kuna watu wmelizwa asee.
 
Amna kitu wanachonufaika zaidi ya KUWATAPELI WATU uko fesibuku kuna account nyng za fake za watu wanaojifanya maselebriti mzee...mfano kuna account fake ya Juksi jamaa anapost picha za juksi na kujifanya yye ndio juma Juksa na mbaya zaidi account nyng fake za mastaa uko FB zko verified na bluetick kabisaaa

Sasa jamaa anajifanya yye ndo Juma Juksi akafungua grp la wasap akaweka link watu wakajaa akawaambia anauza nguo (africanboy Brand) free deliver watu wakajaa wakatuma pesa ukituma pesa anakublock na huna pakuripoti So kuwa makini sana waendesha page za FB ni vibaka bora wambea wa insta wanapata pesa kwa matangazo
Kwa uelewa wangu mdogo, Facebook hawakulipi kutokana na ww kua na page fb sana sana ww ndo utalazmika kuwalipa ili page yako ipate kuonekana na fb users wengi labda njia ambayo unaweza ukatengeneza pesa ni wewe kupokea matangazo ya watu wanaotaka utangaze kwny page yao na hapo ni mpaka hiyo page iwe na likes nyingi sana kias cha kumshawishi anaetaka kutangaza nawe afanye hivyo kimsingi sidhani km kuna fursa hapo. Labda wengine watujuze!.
Dah kweli asee, kwanza naona nikama vile wanapata hasara tu mfano mtu anapost video ya dakika kumi afu kui upload ile video si chini ya 1gb, dah hua nawaza Sana hawa watu wanapata faida gani? Acha waje wengine watujuze.
 
Dah! Hii ulosema ni kweli asee Kuna page moja ya queen darling asee ile page ni fake lakin ina verified tik, na ninaona anaitumia kwa BIASHARA Sana Sana sjajua Kama Kuna watu wmelizwa asee.
Na iyo naipata vzur kabsa nayeye(muendesha page) ashawai kuweka link ya whatsApp tukajoin lazma kuna watu walipigwa tu ssa kuna nyngne ya Rich mavoko alinifata inbox akanipiga sound kwamba nitoe pesa ili nifanye nae ngoma nikilchofata jamaa(uyo tapeli) aliishia kunipiga tofali tu
 
Facebook kupitia kurasa (Pages) inaruhusu kufanya monetization - uchumaji Mapato kutokana na maudhui unayotengeneza (Video za kupakia na Mubashara).

Pia kuna kipengele cha stars na graphics/emojis styled kinachoruhusu wafuasi wako kukuzawadia nyota/picha zinazogeuzwa fedha na kulipwa moja kwa moja.

Utahitaji dakika 600,000 za utazamaji wa video zako kwa siku 60 na video 5 zilizo hai katika kurasa kwa siku hizo 60. Facebook kuanzia Septemba mwaka huu hadi Septemba mwaka 2022 Facebook itatenga TZS Bilioni 889 na millioni 958 maalumu kwa watengeneza maudhui.
 
Facebook kupitia kurasa (Pages) inaruhusu kufanya monetization - uchumaji Mapato kutokana na maudhui unayotengeneza (Video za kupakia na Mubashara).

Pia kuna kipengele cha stars na graphics/emojis styled kinachoruhusu wafuasi wako kukuzawadia nyota/picha zinazogeuzwa fedha na kulipwa moja kwa moja.

Utahitaji dakika 600,000 za utazamaji wa video zako kwa siku 60 na video 5 zilizo hai katika kurasa kwa siku hizo 60. Facebook kuanzia Septemba mwaka huu hadi Septemba mwaka 2022 Facebook itatenga TZS Bilioni 889 na millioni 958 maalumu kwa watengeneza maudhui.
Good explanation
 
Mkuu watu wanatafuta platform/ audience/ connections

Page yako ikiwa kubwa unapata tu deal twa matangazo
Nirahisi kuhamisha followers wakufuate youtube au kwenye blog yako

Njia rahisi kupata views youtube na kwenye blog ni kuanza kupata watu wakutosha fb au insta
 
Facebook kupitia kurasa (Pages) inaruhusu kufanya monetization - uchumaji Mapato kutokana na maudhui unayotengeneza (Video za kupakia na Mubashara).

Pia kuna kipengele cha stars na graphics/emojis styled kinachoruhusu wafuasi wako kukuzawadia nyota/picha zinazogeuzwa fedha na kulipwa moja kwa moja.

Utahitaji dakika 600,000 za utazamaji wa video zako kwa siku 60 na video 5 zilizo hai katika kurasa kwa siku hizo 60. Facebook kuanzia Septemba mwaka huu hadi Septemba mwaka 2022 Facebook itatenga TZS Bilioni 889 na millioni 958 maalumu kwa watengeneza maudhui.
Dah! Asante Mkuu hapa nikuelewa vizuri kabisa.
 
Mkuu watu wanatafuta platform/ audience/ connections

Page yako ikiwa kubwa unapata tu deal twa matangazo
Nirahisi kuhamisha followers wakufuate youtube au kwenye blog yako

Njia rahisi kupata views youtube na kwenye blog ni kuanza kupata watu wakutosha fb au insta
Ooh! Sawa Mkuu hapa nimekuelewa vizuri Sana.
 
Kwa uelewa wangu mdogo, Facebook hawakulipi kutokana na ww kua na page fb sana sana ww ndo utalazmika kuwalipa ili page yako ipate kuonekana na fb users wengi labda njia ambayo unaweza ukatengeneza pesa ni wewe kupokea matangazo ya watu wanaotaka utangaze kwny page yao na hapo ni mpaka hiyo page iwe na likes nyingi sana kias cha kumshawishi anaetaka kutangaza nawe afanye hivyo kimsingi sidhani km kuna fursa hapo. Labda wengine watujuze!.
Kuna video monetalization pia ila japo sio jambo rahisi kwa content creator wa kibongo ambao hukopi na kupesti kazi za watu
 
Kwa uelewa wangu mdogo, Facebook hawakulipi kutokana na ww kua na page fb sana sana ww ndo utalazmika kuwalipa ili page yako ipate kuonekana na fb users wengi labda njia ambayo unaweza ukatengeneza pesa ni wewe kupokea matangazo ya watu wanaotaka utangaze kwny page yao na hapo ni mpaka hiyo page iwe na likes nyingi sana kias cha kumshawishi anaetaka kutangaza nawe afanye hivyo kimsingi sidhani km kuna fursa hapo. Labda wengine watujuze!.
Wanalipa kupitia monetize videos kama umekidhi vigezo vyao
 
Dah kweli asee, kwanza naona nikama vile wanapata hasara tu mfano mtu anapost video ya dakika kumi afu kui upload ile video si chini ya 1gb, dah hua nawaza Sana hawa watu wanapata faida gani? Acha waje wengine watujuze.
Kwamba ana upload video moja yenye GB1 huo ni uongo wa kiwango cha lami.
Kwanza FB unaweza upload video hata kama upo freemode
 
Back
Top Bottom